Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure kabisa sio lazima ufanye kazi uliyosomeaMfano halisi, producer HERMY B ni daktari wa mifugo,graduate wa SUA, jamaa kaamua kupiga zake vinanda,....
Nisomee mbele wapiKozi ngumu lakini Utaishia Kuchoma Nguruwe sindano na Kula nyama za Bure bhasi... hiyo kozi somea mbele hapo ndo utafaidi zaidii
Sio usome mbeleee...!! USOME UKAFANYE KAZII MBELEEEE...Nisomee mbele wapi
Et nyama za bure [emoji28][emoji28][emoji28]Kozi ngumu lakini Utaishia Kuchoma Nguruwe sindano na Kula nyama za Bure bhasi... hiyo kozi somea mbele hapo ndo utafaidi zaidii
Kweli tena mku...!!Et nyama za bure [emoji28][emoji28][emoji28]
Kweli tena mku...!!
Kabisa...Nyama za offer[emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]E bhna eeh basi swalehe akikua akafanye hii kazi
Tuwe tunakula minyama [emoji28][emoji28]
Vijana acheni kuangalia specialization inalipa mshahara kiasi gani au wazazi wanataka ufanye nini
Fanya ile kitu roho inapenda ndio siri ya mafanikio. hakuna fani isiyolipa ni jinsi wewe mwenyewe unavyoiweka hiyo fani kuna mtu wa CPA analipwa tshs 1m mwingine 2m na mwingine 15m, analipiwa Gym, kila mwaka anapewa 2 tickets go and return to any destination
Nina vijana wangu niliishawaambia kabisa sitakuja kumchagulia mtu couse ya kufanya, sana sana nitakachokifanya ni KUSHAURI tu na kuhimiza ufanye vizuri zaidi ktk kile unachokipenda na kinachokuwia rahisi kukifanya
Ukitaka kulijua hilo angalia yale masomo ambayo hata ukipewa zile surprise papers huna wasiwasi unafanya huku ukiwa Happy Mungu ametuumba makusudi tukiwa na talanta tofauti ili tusaidiane, ng'amua talanta yako ongeza bidii utafanikiwa
HahhahahhhahahahahE bhna eeh basi swalehe akikua akafanye hii kazi
Tuwe tunakula minyama [emoji28][emoji28]
Marafiki zangu kama 5 walioenda huko waliliwa vichwa ingawa walienda na one, ila wengine bado wanaendelea. So msuli siyo wa kitoto kabisaNdugu yangu, pindi la BVM sio kitoto, So kikubwa kapambane sana maana nasikia hii course inaongoza kwa kula vichwa pale Sokoine
Mmhhhh....alianza kazi lini huyo na alikuambia mwenyeweVM inalipa,namjua mkaka m1 hvi jiran yetu anachukua zaid ya mil 2.5 kwa mwez.
Kama kaajiriwa na shirika its okay lkn sio gvntkaajiriwa na shirika moja la kimarekani.
Huuu ni uongo wa kiwango cha PhD kabisa kama Huna taarifa sahihi ni bora ukaulizaAjira ya udaktar mifugo huwa ni serikalini 2 na sivngnevyo.