[emoji23][emoji23][emoji23] acha kumtisha mwenzioKozi ngumu lakini Utaishia Kuchoma Nguruwe sindano na Kula nyama za Bure bhasi... hiyo kozi somea mbele hapo ndo utafaidi zaidii
Walahii tenaa...!! Hakuna maslahii hapoo..[emoji23][emoji23][emoji23] acha kumtisha mwenzio
Sasa ukifika pale unaanza kulamba lamba midomo unazani muchezo Baba yoyo, ni kukaza msuli haswaaMarafiki zangu kama 5 walioenda huko waliliwa vichwa ingawa walienda na one, ila wengine bado wanaendelea. So msuli siyo wa kitoto kabisa
Hamna mkuu, kama yupo vizuri muache akapambane hapo hata muda wa kutafuta michepuko hatapata kabisaWalahii tenaa...!! Hakuna maslahii hapoo..
hiyo utamwagilia bustani mpak uzeeniWanawana "nimechaguliwa sua koz bachelor in irrigation and water resources engineering. Ipoje hiyo wajuzi huko mbeleni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Aiseehiyo utamwagilia bustani mpak uzeeni
Mkuu ulisoma hiyo kozi?Sasa ukifika pale unaanza kulamba lamba midomo unazani muchezo Baba yoyo, ni kukaza msuli haswaa
[emoji28][emoji28]hiyo utamwagilia bustani mpak uzeeni
Karibu department moja kabisa na tunashare baadhi ya kozi nilimaliza pale agriculture engineeringWanawana "nimechaguliwa sua koz bachelor in irrigation and water resources engineering. Ipoje hiyo wajuzi huko mbeleni?
Ni kwel inaongoza kula vichwa na usipokuwa makini unaweza isoma miaka sita au Saba kwa sababu ya retake zake zpo nyingi wengi wanakamatwaMarafiki zangu kama 5 walioenda huko waliliwa vichwa ingawa walienda na one, ila wengine bado wanaendelea. So msuli siyo wa kitoto kabisa
Hapana mkuuMkuu ulisoma hiyo kozi?