Kusubiria ahadi za Mungu inachosha bora mtu ufanye maamuzi magumu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hii kusema kwamba mke mwema anatoka kwa MUNGU naikataa kwa kweli kwa sababu hao wanawake wema Duniani hapa nahisi wamebakia wachache mno.

Sasa cha msingi bora tu ukiona umechoka kulala peke yako au kujifulia nguo basi bora utafute mwenyewe usisubiri kwa kusali peke yake haitoshi jiongeze.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji13]
 
Kwani wanaotoka kwa Mungu umeambiwa hufanyi maombi kutafuta kumchunguza na kuona ukiona criteria zinafiti? Au ulijua wanashushwa kenye ma viloba kana pesa za escrow? By the way now days watoto wamevurugwa tangu msingi na O level, km unasubiri hawa wakukutana ofisini ni 50 50
 
Dhana ya kumuomba Mungu sio kukaa na kusubiri john. Mungu anakuongoza tu kufikia kile alichokuandalia ila wewe inabidi uhangaike kukifikia.
 
We unaombaje bila ishara omba Mungu kwa ishara Muombe Mungu akuoneshe hata kwa ishara Mungu huonesha kwa ishara.

Kama atakuonesha kwenye maono kuwa binti atakayekuwa wa kwanza kukusalimia kesho basi ndiyo mkeo huyo hafu nenda katege maeneo wanapopita mabinti kusubiria jibu.​
 
Na hayo maono ili uonyeshwe inatakiwa uweje..uwe huna dhambi au hata ukiwa wa kawaida tu unapewa maono
 
Na hayo maono ili uonyeshwe inatakiwa uweje..uwe huna dhambi au hata ukiwa wa kawaida tu unapewa maono
dhambi zinaingiaje hapo kwenye kutafuta mke? Anataka update mke kutoka kwake ili usifanye zambi za wasio na wake na kuzama huko. Hakuwindi ili akuadhibu.

Anataka ufanikiwe, soma Yet 29:11. Mtego mkubwa shetani anaowanasia watu ni kuwaaminisha kuwa Mungu hatawasikiliza na kuwasaidia na kuwaokoa hivyo wasimwombe. Mungu anasema mwombe chochote kwa imani naye atafungua njia, hata kama ni mke.

Huyo mleta mada anaifahamu uwezo wa Mungu ila anajifanya nunda. Mwache akapigwe huko kwenye njia anayochagua akinyooka atarudi kama asipokufa kabla hajatubu
 
Tayari Umeachana na mashahidi wa Yehova?
 
Noma sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…