masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Soma kabla hujatuma(ika..yeye ankula jucha moaka vdole.......)
Mkuu ratiba yangu kwa kawaida iko hivi:
Saa 1 mpaka 9 jioni kazini.
9.30 mpaka 11 nalala.
11 mpaka 1 ucku gym.
Then home again. Unless kuna outing au kumuona mtu mahali.
Nakunywa pombe ocationally tu strictly not more than 3 castle light.
Kwa kawaida hayo ndo maisha yangu.
Sasa kupumzika gani zaidi ya hapo?
kuna mtu hapo kakwambia ulale uweke kidole mdomoni ja,bo ambalo binafsi naliona gumu sana lazima utakitoa,fanya hivi mwambie mke wako akisikia tu unaanza kutafuna akushtue fanya hilo zoezi na baada ya muda uta adapt lakini pia jaribu kusoma katika google kuhusu hilo tatizo nadhani utapata solution,pole
Kweli uzee mwisho chaliNze Babu mzima ni mwendo wa Ucku badala ya Usiku! Nenda ufanyiwe maombi babu!
For u r info mm sikai dar wala karibu na dar. Kuandika kwa kifupi kunapunguza muda wa kuandika. Mtu mwenye akili time is money!
Unakuwa una simulate unatafuna bloiler wa kwa bonge pale kona bar
Tafadhali naomba msaada kwa mtu au doctor mwenye uelewa anisaidi kupata ushauri au dawa kwa nini natafuna meno ucku.
Umri nina miaka 50.
Mwanaume.
Naishi na kula vzr , kifupi sina shida ndogo ndogo za kusema labda lishe imepungua.
Nafanya mazoezi na afya yangu ni nzuri na nimepima.
Nimetoa maelezo haya ilimwenye uelewa wa tatizo langu aweze kupunguza wigo wa kujiuliza chanzo cha tatizo langu.
Historia yake.
Natafunaga meno usiku mpaka kelele zinasikika kama vile panya anavyokula vitu ucku mkilala.
Natafuna nikipata usingizi mzito.
Swali.
Je kuna dawa?
Ni ugonjwa?
Nifanyeje.
Hilo ni tatizo la uzee, na ukiona hivyo jua kwamba uko jirani kufa.
Anza kuandika mirathi.
Pia nadhani ulikuwa ukipiga denda sana thats why muda wote unadhani uko na mwanamke mkipigana madendaz.
Hilo ni tatizo la uzee, na ukiona hivyo jua kwamba uko jirani kufa.
Anza kuandika mirathi.
Pia nadhani ulikuwa ukipiga denda sana thats why muda wote unadhani uko na mwanamke mkipigana madendaz.
Mtoto wangu miaka mi3 ana Tatizo hilo pia
Mkuu wewe ni kiboko ya madaktari.
I wish angeniona nafafanaje ha ha haaa pengine atakufa hata kabla yangu. Age aint nothing mkuu. Inategemea sana na genes za ukoo wenu, maisha yako kwa ujumla n hw u take care of yo self!
Pole sana Lupituko. Huu sio ugonjwa kama magonjwa mengine. Unahitaji kumuona daktari wa meno kwa ushauri zaidi.
inawezekana kuwa utahitaji kifaa kinachoitwa "occlusal/mouth guard".
Lakini mkuu ni jokes tuu naamini hayuko serious!
Thnx kwa ushauri. Wewe mtu wa pili kuniambia hivo I will try that one nione watasemaje.