Mtu Tajiri
Senior Member
- Sep 30, 2016
- 150
- 180
Nije pmHata wanaume wanasuguliwa mbona!!!
Yaani wanatuzalilisha sana hawa wanaumeHata wanaume wanasuguliwa mbona!!!
KUlikoni?!!!!Nije pm
Uniambie wanasuguajeKUlikoni?!!!!
Hata juzi Jumamosi nilikuwa pale mitaa ya Sinai kwenye machinjio ya kitimoto, nikakuta mwanamme katikati ya wanywa pombe amepakatwa mguu anaoshwa, tena wa kutoka taasisi yenye heshima kabisa hapa nchini, walikuwa wamepaki na gari lao hapo pembeni yuko na wafanyakazi wenzieYaani wanatuzalilisha sana hawa wanaume
Mwache aje ili asivunje sheria za jamii forumKUlikoni?!!!!
Kwani hilo ni siri hadi tuongelee PM mkuu wangu?!!!!Uniambie wanasuguaje
ππππππππHuu ujinga sitaki hata kuusikia, mimi nitaua wallahy. Tena siku hizi hao wapaka rangi wanapanda hadi karibu na magoti kuosha miguu. Yaani saa zingine unakuta mwanke kalegea kabisa.
hatari sana mkuu... Mm siku nikimuona mwanamke mwenye hijab na niqab anafanyiwa hayo mambo naacha kutumia smartphone... hili suala nio la mwanamke kujielewa na kujua thamani ake tu .. yaani mmama anaoshwa mapaja makumbusho stendi pale tena jioniHuu ujinga sitaki hata kuusikia, mimi nitaua wallahy. Tena siku hizi hao wapaka rangi wanapanda hadi karibu na magoti kuosha miguu. Yaani saa zingine unakuta mwanke kalegea kabisa.
Wanaume Labda Massage Lakini kusuguliwa hapana.Lakini wewe hujawahi kusuguliwa na hawa mabwana ujibu kama kuna kusisimka ama Lah??Hata wanaume wanasuguliwa mbona!!!
Duh.. GodforbidHata juzi Jumamosi nilikuwa pale mitaa ya Sinai kwenye machinjio ya kitimoto, nikakuta mwanamme katikati ya wanywa pombe amepakatwa mguu anaoshwa, tena wa kutoka taasisi yenye heshima kabisa hapa nchini, walikuwa wamepaki na gari lao hapo pembeni yuko na wafanyakazi wenzie
Mimi sijawahi kusisimka kwenye kitu ambacho hakinihusu. Nasisimkaje kwa mwanamme ambaye sina uhusiano naye wa kimapenzi? Labda kama nimepatwa na JINI MAHABAWanaume Labda Massage Lakini kusuguliwa hapana.Lakini wewe hujawahi kusuguliwa na hawa mabwana ujibu kama kuna kusisimka ama Lah??
Mmh!!Kweli hisia zenu ziko mbali.Yaan kanjemba kanasugua na kuosha miguu dakika zote wewe unakodoa macho tu!!!!!Mimi sijawahi kusisimka kwenye kitu ambacho hakinihusu. Nasisimkaje kwa mwanamme ambaye sina uhusiano naye wa kimapenzi? Labda kama nimepatwa na JINI MAHABA
Hisia ni kujiendekeza mkuu Mtu TajiriMmh!!Kweli hisia zenu ziko mbali.Yaan kanjemba kanasugua na kuosha miguu dakika zote wewe unakodoa macho tu!!!!!
π³π³π³π³π³π³Mm nimeanzisha biashara ya kusugua chuchu za wadada
Ukweli mimi ni mdhaifuHisia ni kujiendekeza mkuu Mtu Tajiri