Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Mmoja wapo Mimihatari sana mkuu... Mm siku nikimuona mwanamke mwenye hijab na niqab anafanyiwa hayo mambo naacha kutumia smartphone... hili suala nio la mwanamke kujielewa na kujua thamani ake tu .. yaani mmama anaoshwa mapaja makumbusho stendi pale tena jioni
hivi anakua ameshindwa kuogea nyumbani au ni nini ?/