Uchaguzi 2020 Kususia Bunge la Bajeti kunawanyima kura Upinzani

Uchaguzi 2020 Kususia Bunge la Bajeti kunawanyima kura Upinzani

Ewee muumba mbingu na nchi fanya miujiza Chadema wapate wabunge chini ya watano na hao watano baada ya muda waunge mkono juhudi.
Wote tuseme Aaaamin.

Usimchose Mungu wakati ccm ina yesu wake. Ongea na yesu wa ccm aagize alichoagiza kwenye uchaguzi wa SM.
 
Na bahati mbaya zaidi Lissu ameanza kutumika na Mabeberu
wanaotumika na mabeberu serikali inapaswa iwashughulikie kama wanavoshughulikiwa magaidi maana hawa nao ni watu hatari kwa taifa, Marekani na mataifa mengine ukisemekana tu unatumika dhidi ya taifa lako ujue maisha yako ndo kwa heri bt hapa bado wanawalea lea.
 
Kabla jimbi kutoka chato kuwika mmeshaanza kuwakana kinga makers?

Hiyo jamaa wa Chato hanaga sifa ya kushinda kwa box la kura, hapo alipo anazuga tu, lakini ana matokeo mfukoni tayari. Ndio maana anazunguka kutishia wapiga kura, na kuongea kilugha ambayo kwa sheria za uchaguzi hairuhusiwi, na tume ya uchaguzi iko kimya kabisa.
 
Inabidi tumualike Rais Putin Tanzania ili atufundishe jinsi ya kudeal na Wasaliti wa Nchi Mkuu
Right maana hawa wanaotumika na mabeberu ndo wanaleta migogoro na kuligawa taifa, hawa ni zaidi ya magaidi wanapaswa kushughulika sana.
 
wanaotumika na mabeberu serikali inapaswa iwashughulikie kama wanavoshughulikiwa magaidi maana hawa nao ni watu hatari kwa taifa, marekani na mataifa mengine ukisemekana tu unatumika dhidi ya taifa lako ujue maisha yako ndo kwa heri bt hapa bado wanawalea lea.

US ukisikia mtu anatumika anatumika kweli sio hizi siasa uchwara za hapa. Lisu alienda kutibiwa ulaya maana angekubali kutibiwa hapa, leo hii angekuwa marehemu, na mke wake angekuwa nyumba ndogo yangu. Kama kutibiwa ulaya ni kutumika, basi Nyerere, JK nk wangekuwa walitumika sana.

Nchi gani ya ulaya ina muda wa kumtumia mtu hapa nchini, nchi ambayo bado raia wake wengi hawana vyoo na kujisaidia porini? Ingekuwa ni North Korea au Iran hapo afadhali. Sio sisi ambao hata watu wakitoka chooni hawajui kunawa na maji.
 
Umesahau kuna mtu aliikimbia ikulu na kwenda kujificha chato kwa zaidi ya miezi miwili!
Huyu naye mjumuishe kwenye hayo unayozungumza,shwain!
 
Inabidi tumualike Rais Putin Tanzania ili atufundishe jinsi ya kudeal na Wasaliti wa Nchi Mkuu
Risasi mmeona haitoshi mnataka mbinu mpya ya kuwamaliza kimya kimya?
Kesho utasikia, JPM kaletwa na Mungu, my foot!
 
Usimchose Mungu wakati ccm ina yesu wake. Ongea na yesu wa ccm aagize alichoagiza kwenye uchaguzi wa SM.
Kingwendu wewe ushindwe na utepete,Mungu achoki.
Fanya sala ya toba.
 
Fanya utafiti kidogo utapata jibu.

Upinzani ni wasaliti na hawana uzalendo
Wewe ni mzalendo au mchumia tumbo. Watu mko CCM kwa maslahi halafu unaita huo ndo uzalendo? Shwine! MwanaCCM anayeweza kuniambia ni mzalendo ni Gentamycin na Johnthebaptist nyie wengine mnategemea posho za wagombea kuendesha maisha wala hamna mapenzi na chama.
 
US ukisikia mtu anatumika anatumika kweli sio hizi siasa uchwara za hapa. Lisu alienda kutibiwa ulaya maana angekubali kutibiwa hapa, leo hii angekuwa marehemu, na mke wake angekuwa nyumba ndogo yangu. Kama kutibiwa ulaya ni kutumika, basi Nyerere, JK nk wangekuwa walitumika sana. Nchi gani ya ulaya ina muda wa kumtumia mtu hapa nchini, nchi ambayo bado raia wake wengi hawana vyoo na kujisaidia porini? Ingekuwa ni North Korea au Iran hapo afadhali. Sio sisi ambao hata watu wakitoka chooni hawajui kunawa na maji.
Lissu ameanza kutumika kwenye sakata la madini na ndo kilipelekea kutaka kuuawa, alafu usichokijua ni kua amerika na washirika wake wanapandikiza watu wao kila nchi ili wawe wanapata taarifa mbali mbali za kiserikali ajili ya mission zao.
 
lissu ameanza kutumika kwenye sakata la madini na ndo kilipelekea kutaka kuuawa, alafu usichokijua ni kua amerika na washirika wake wanapandikiza watu wao kila nchi ili wawe wanapata taarifa mbali mbali za kiserikali ajili ya mission zao.

Ni kipi Marekani atakitaka nchi hii akikose mpaka wamtumie Lisu? Aliyeagiza Lisu atake kuuwawa ni huyu huyu mwenye ulevi wa madaraka. Kwa taarifa yako Marekani akiyataka madini yetu anayapata bila shida yoyote.

Ni taaarifa gani hao US za serikali yetu wakizitaka watazikosa mpaka wapandikize mtu, hizo taarifa zinazotuzwa kwenye server zinazorun windows XP? Hebu kaa kimya, maana hapa unaonekana ww ni bendera fuata upepo.
 
Ni kipi Marekani atakitaka nchi hii akikose mpaka wamtumie Lisu? Aliyeagiza Lisu atake kuuwawa ni huyu huyu mwenye ulevi wa madaraka. Kwa taarifa yako Marekani akiyataka madini yetu anayapata bila shida yoyote.

Ni taaarifa gani hao US za serikali yetu wakizitaka watazikosa mpaka wapandikize mtu, hizo taarifa zinazotuzwa kwenye server zinazorun windows XP? Hebu kaa kimya, maana hapa unaonekana ww ni bendera fuata upepo.
amerika wanaiendesha dunia kwa akili zaidi pale inaposhindikana ndo wanatumia nguvu.
 
amerika wanaiendesha dunia kwa akili zaidi pale inaposhindikana ndo wanatumia nguvu.

Kuna kipi cha kuisumbua Marekani hapa, au ni wale makomandoo wanaopasuliana matofali kichwani?
 
Lijuakali alishinda kwa wizi wa kura...
maelezo yake mwenyewe
Wapinzani hawawezi kunyimwa kura na wananchi, ndio maana CCM inatumia NEC kuwaengua maana wanajua hakuna mbunge wa ccm haiwezi kushinda bila kubebwa na NEC.
 
Kuna kipi cha kuisumbua Marekani hapa, au ni wale makomandoo wanaopasuliana matofali kichwani?
kama hamna cha kuwasumbua kipi kinawafanya waliandame taifa letu kwenye utawala huu baada ya kususa janja janja zao?
 
Back
Top Bottom