Kususia kutumia miamala kuendelee

Kususia kutumia miamala kuendelee

Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Wewe ni mkenya au mtanzania?

Tususie ili iweje? Mamilioni ya Watanzania wakose huduma Bora za afya? Wakose shule Bora? Wakose barabara za rami?
 
Wewe ni mkenya au mtanzania?

Tususie ili iweje? Mamilioni ya Watanzania wakose huduma Bora za afya? Wakose shule Bora? Wakose barabara za rami?
Hizo huduma waliacha lini kuzipata? Kususia kunaendelea na ndio maana mmepata bil 48 nusu ya matarajio yenu
 
Mimi natumia boda/airtel money kuweka hela ya kujiunga bundle the rest is history kwa kweli.. mwigulu kaua biashara za mpesa, tigo pesa na Airtel money. Na bado yatashuka sana tu
 
Hao walioko vijijini wananihusu nini mimi?

Acha kutetea upumbavu.
Kama kuna upambavu ni hoja yako hiyo. Hata kama ulizaliwa, ukakulia na maisha yako yote ni mjini, mahitaji yako muhimu (km vyakula) yanatoka vijijini
 
Bavicha bhana! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Alafu utakuta kina Lema kesho wanataoa namba za simu kwa ajili ya kupokea michango!

Aliewaroga ana dhambi sana!
 
Kama kuna upambavu ni hoja yako hiyo. Hata kama ulizaliwa, ukakulia na maisha yako yote ni mjini, mahitaji yako muhimu (km vyakula) yanatoka vijijini
nakuliza tena wananihusu nini mimi mpaka nikatwe hela yangu wajengewe hospital?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mkiitwa nyumbu mnakasirika
20210812_132954.jpg
 
Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.

Hata hizo 48bn/- zinaweza kuwa nazo ni za kutengeneza.

Kwanini tozo za uzalendo si kwenye mapato yao yasiyokuwa na na kutambua madhila ya wengine?
 
Tususie ile walioko vijijini waendelee na mzigo wa kujiondoa katika umaskini kwa sababu ya uhaba au ubovu wa huduma za afya!!!!
Tatizo sio wapate shida.. issue ipo kwenye izo pesa ni % ndogo sana ndio itaenda kufanya hayo maendeleo... sio kwa 100% maana yakifanyika kwa angalau 85% hadi 90% hatutasikia shida ya madarasa wala izo barabara za vumbi vijijini wala vituo vya afya baada ya miaka 8 au 10 wakiwa sio wapigaji kabisa. Maana 130+ billions per month ni pesa ndef sana. Na tumepigwa tozo za kutosha kwa wakati mmoja mpaka tumeblow[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hii ya kususia miamala imekuwa na mafanikio makubwa sana. Wataarifu uwapendao wote waachane na miamala na watumie njia mbadala. Aluttaaas ✊🏾✊🏾✊🏾✊🏾
 
Mapato ya kodi ya miamala yalitakiwa yawe 137.5 billions kwa mwezi lakini wamekusanya bilioni 48 tu chini ya nusu ya mapato yaliyostahili. KUSUSIA MIAMALA KUENDELEE. Mkumbukushe ndugu yako, jirani yako na rafiki yako.
Bado mnaomba michango kupitia mpesa na tigopesa, mtaacha lini unafiki?
Muwe serious kidogo,
 
Back
Top Bottom