KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Jamani mwenzenu ninatabia ya kutafuna midimo kwa maana ya lips hasa ya chini! Tabia hii siipendi ata kidogo inafanya midomo yangu inakuwa miekundu kama najunywa pombe. Huku ata pombe sijui radha yake.nimejaribu kuiacha nimeshindwa msaada.