Sio habari za kufungua vitabu saiv we sema wapi pamekosewa watu wote tueleweshane... Usijifanye unajua
Njia ya kupata Mtoto wa Kiume kutumia siku 24 na 28
¤ Siku zote mtoto wa kiume hupatikana siku Mwanamke ameingia Ovulation/yai limetoka na anahamu sana na Mwanaume kuliko siku zote.(Zile I Miss U zinapokuwa zinazidi)
Sasa Mwanamke unatakiwa umpe Tunda mwanaume siku hiyo ya kwanza. Kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 24 ni siku ya 12 toka alipobleed na Kwa wanawake wa mzunguko wa siku 28 ni siku ya 14 toka alipoanza kubleed. Hizi ni siku za Yai kutoka.
ikumbukwe kuwa mbegu ya kiume Y inawahi kufika kuliko X ndo maana nakushauri hivyo. Na pia Y inawahi kufa kabla ya X. Y inaishi siku 2 mpaka 2.5 wakati X inaishi mpaka siku 3 na 3.5
kwahiyo kama ukifanya siku hiyo Mbegu ya kiume itawahi kufika na kurutubisha Yai mapema. Na kumbuka kuwa Ili kuwe na uwezekano mkubwa wa kufika lazima Mwanamke awe Chini na Mwanaume awe juu wakati wa tendo la Ndoa ili kuleta mseleleko mzuri wa mbegu. Na siku zote Mwanaume apige magoli mengi ili kuleta sperm count kubwa zitakazoweza kufika kwenye Yai. Na Mwanamme ukae style ya Missionary kwa mda Mrefu wakati uume upo kwenye uke mwishoni kabisa ili kufikia karibu na Cervix.
Note: mwanaume anatakiwa asimove uume wake wakati amefika kileleni na hakikisha ameuingiza wote
¤Kwa mtoto wa kike!
Mwanamke anatakiwa kufanya Mapenzi na mme wake siku mbili au tatu kabla ya siku ya Ovulation. Yaani siku ya 9 kwa mwanamke aliye na mzunguko wa siku 24 na siku ya 11 kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 toka aanze kubleed.. Hapa Y zote zitakuta yai halijatoka na Zitakufa na kwa vile X inaishi mda mrefu yai likitoka Basi mtoto wa Kike anatungwa
Goodluck
style ya Missionary ndo ipi kaka
Njia ya kupata Mtoto wa Kiume kutumia siku 24 na 28
¤ Siku zote mtoto wa kiume hupatikana siku Mwanamke ameingia Ovulation/yai limetoka na anahamu sana na Mwanaume kuliko siku zote.(Zile I Miss U zinapokuwa zinazidi)
Sasa Mwanamke unatakiwa umpe Tunda mwanaume siku hiyo ya kwanza. Kwa wanawake wenye mzunguko wa siku 24 ni siku ya 12 toka alipobleed na Kwa wanawake wa mzunguko wa siku 28 ni siku ya 14 toka alipoanza kubleed. Hizi ni siku za Yai kutoka.
ikumbukwe kuwa mbegu ya kiume Y inawahi kufika kuliko X ndo maana nakushauri hivyo. Na pia Y inawahi kufa kabla ya X. Y inaishi siku 2 mpaka 2.5 wakati X inaishi mpaka siku 3 na 3.5
kwahiyo kama ukifanya siku hiyo Mbegu ya kiume itawahi kufika na kurutubisha Yai mapema. Na kumbuka kuwa Ili kuwe na uwezekano mkubwa wa kufika lazima Mwanamke awe Chini na Mwanaume awe juu wakati wa tendo la Ndoa ili kuleta mseleleko mzuri wa mbegu. Na siku zote Mwanaume apige magoli mengi ili kuleta sperm count kubwa zitakazoweza kufika kwenye Yai. Na Mwanamme ukae style ya Missionary kwa mda Mrefu wakati uume upo kwenye uke mwishoni kabisa ili kufikia karibu na Cervix.
Note: mwanaume anatakiwa asimove uume wake wakati amefika kileleni na hakikisha ameuingiza wote
¤Kwa mtoto wa kike!
Mwanamke anatakiwa kufanya Mapenzi na mme wake siku mbili au tatu kabla ya siku ya Ovulation. Yaani siku ya 9 kwa mwanamke aliye na mzunguko wa siku 24 na siku ya 11 kwa mwanamke mwenye mzunguko wa siku 28 toka aanze kubleed.. Hapa Y zote zitakuta yai halijatoka na Zitakufa na kwa vile X inaishi mda mrefu yai likitoka Basi mtoto wa Kike anatungwa
Goodluck
Mwanamke chini mwanaume Juu! Ni staili ya kuanzia Tendo
Mara Nyingi ilifanywa na Wazazi wetu hapo zamani. Au Angalia Makasha ya Kondomu wamewachora watu wakifanya staili hiyo.
Kuna sehemu nilsoma kuwa ile style ya Mbuzi kagoma kwenda ni nzuri katika kumpata mtoto wa kiume, je ni kweli ukiwa katika siku zile mbili za ovln?
Hiyo niliyotoa ni style moja wapo, style yoyote itakayofanya sperms/mbegu kuwa under gravity ni nzuri
Asante sana kwa majibu mazuri na yanatekelezeka!
Shukrani kaka nimekusoma
Wengi ni kubahatisha tuu. Utajuaje yai limefika kwenye nyumba ya uzazi?