Kutafuta mchamba wa kike ili naye ndoa

Sifa zote hizo mtaani anapoishi ni mazombi wasimmwne?

By the way kwa mashary hayo kubali kushare
 
Ntafutie boss ntashukuru.
 
Nenda kanisani,jichanganye kwenye kwaya utampata wa sifa uzitakazo
 
Nandhani mtu wa kuoa atafufutwi bali hutokea kama coincidence.

Ni rahisi kupata kitu chochote kwa vigezo unavyotaka ila sio binadamu ni impossible labda kama kutakuwa na technology ya kutengeneza binadamu kwa vigezo in the future.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…