Mimi ni kijana wa kiislamu nina miaka 35 nahitaji mke pia mimi ni mweusi nafanya kazi serikali .
Mke ninayemuhitaji awe muislamu kazi sio muhimu awe mweupe na asiwe na mtoto miaka isizidi 30 pia aipende dini na kupenda kuswali.
Karibu sasa aliyeko tayari aje tujenge maisha yenye kumpendeza Mungu
Mke ninayemuhitaji awe muislamu kazi sio muhimu awe mweupe na asiwe na mtoto miaka isizidi 30 pia aipende dini na kupenda kuswali.
Karibu sasa aliyeko tayari aje tujenge maisha yenye kumpendeza Mungu