#COVID19 Kutahadharisha kuhusu wimbi la tatu la Covid-19 bila kuchukua hatua stahiki ni kumpigia mbuzi gitaa

Huo uzi una uhusiano gani na maoni yangu?
 
sasa ukiambiwa kuna corona na huoni logic ya kuzuiwa na barakoa kwanini mtu akushangae kutoivaa!!!

corona yenyewe kwa jinsi ilivyo,kama ingekuwepo.hakuna mtu angekuwa salama dsm hii.
 
Duh! Mzimu wa mwendazake huu
Akili Kama zenu ndiyo zinawaza hata kuzika majeneza tupu ili ionekane Kuna Corona. Wasiwasi ni mbaya kuliko tatizo lenyewe.

Mwenyezi Mungu ndiye mwamuzi mkuu, trust him.[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Duh! Mzimu wa mwendazake huu
Kama ingekua inaua sana nadhani tz mngebaki wawili wakati mwingine tujikite kuwaza mamb beyond media ugonjwa wako namba moja ni uoga wako wapo wanaokufa mwa malaria kila ukicha mbn hamtembei na vyandarua
Kila utakacholetewa lazima ufikiri kwa kina kumsema kwa namna hiyo mwendazake kwa kuwa ni ngumu kuelewa falsafa zake ila alikua sahihi sana sababu yaliyo nyuma ya pazia hamyajui wengi ila upendo wake Mungu tafuteni kuijua kweli ilojificha si lazima mjisaidie kama wao tafuteni njia yenu huku nje wanayafwata hayo lakini wanakufa kila ukicha

Missahau mlipotoka mjue muendako
 
Wanaitwa mburumundu. Huyo ni mmoja tusubiri wengine.
We heshimu maoni yangu usitumie lugha chafu dhidi yangu, tujadili kwa hoja na usijione shujaa kwa kuwa unatazamana na keyboard mkuu.


Tusiitane majina yasiyo na tija, am free to air out my views.
 
We heshimu maoni yangu usitumie lugha chafu dhidi yangu, tujadili kwa hoja na usijione shujaa kwa kuwa unatazamana na keyboard mkuu.


Tusiitane majina yasiyo na tija, am free to air out my views.

Pole kama umekwazika ila umburumundu si tusi bali ni sifa. Yaani characteristics.
 
Hakika umenena mkuu, hawa watu wanaibua Mambo ambayo raia wa kawaida walishayasahau kabisa.


Corona haizuiliki kwa hizo barakoa wanazovaa kupigia picha dakika tano halafu wanazivua.

Mungu ndiye mlinzi Mkuu[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Pole kama umekwazika ila umburumundu si tusi bali ni sifa. Yaani characteristics.
Sitaki uniite vile, na hujaniita kwa nia njema bali ni kejeli Fulani hivi. Siyo vizuri kutafuta migogoro isiyo na ulazima mkuu, hatufahamiani, tujadili kwa kutumia lugha zenye staha mkuu.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sitaki uniite vile, na hujaniita kwa nia njema bali ni kejeli Fulani hivi. Siyo vizuri kutafuta migogoro isiyo na ulazima mkuu, hatufahamiani, tujadili kwa kutumia lugha zenye staha mkuu.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]

Sijakuita wewe na wala sina haja.

Kwani wewe wanipa kula?

Habari ndiyo hiyo.
 
Mkuu kuna mtu kakushauri husichukue taadhari au husivae barakoa.
Taarifa kila siku inatolewa na wizara husika tuchukue taadhari au hatua stahiki dhidi ya covid. Unataka mpaka watumie viboko au nguvu kwa raia wake?

Taarifa unazo pia ni jukumu lako kuchukua taadhari kwann uanze kulalama hapa? Kila siku unaona Madamu samia anavaa barakoa kwann na wewe usivae?
 
Akili Kama zenu ndiyo zinawaza hata kuzika majeneza tupu ili ionekane Kuna Corona. Wasiwasi ni mbaya kuliko tatizo lenyewe.

Mwenyezi Mungu ndiye mwamuzi mkuu, trust him.[emoji120][emoji120][emoji120]
Mungu anaipenda Tanzania zaidi kuliko nchi nyingine? Yan Mungu mbaguzi sio au sisi ndio taifa teule?
 
Mungu anaipenda Tanzania zaidi kuliko nchi nyingine? Yan Mungu mbaguzi sio au sisi ndio taifa teule?
Mbona watanzania hawafi Kama hayo mataifa mengine?

Mungu huweka mkono wake kwa wamuombao! Amini Sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…