Ngozi ikikomaa sana inakua shida, na husababisha maumivu kwa kijana, ni bora kukatwa akiwa mdogo kuanzia wiki tatu ni poa tu. kumbuka ukiiwacha hii ngozi inakua lakini ukiitoa mapema zile cells zinahamia kwa dudus.. teh teh...Kwa udaktari wa Konnie, angalau mtoto afikishe miaka 7, mie ndio nilifanya hivyo kwa wote
Unataka mbuyu uwe Mwembe?? Kama ana miezi kadhaa hata mishipa yaweza mong'onyolewa.
Wakija madaktari watanibishia, ooha hakuna evidence, ila za kuambiwa changanya na zako.
Ukitaka kujua hata vitu vidogo vinaathiri ukuaji, panda ka mti afu kawekee kitu juu yake, kimti kitapinda kupisha kitu hicho.
anytime from three weeks is okay. any doctor can do this, it is a minor operation, there is no harm at all..Wadau ni wakati gani muafaka wa kumtahiri mtoto. Ni Dr gani au hospitali ipi nzuri nimpeleke junior. nitakuwa Dar soon so ningependa madactari wa dar...
bibie Mamndenyi Mimi ninataka wewe unitahiri govi langu je utaweza? hahahahahah :biggrin::A S 41::teeth:nimekuja mbio nikiwa nimeshikilia mbavu zangu nikijua ni weye
ngoja madoctor watakushauri
bibie Mamndenyi Mimi ninataka wewe unitahiri govi langu je utaweza? hahahahahah :biggrin::A S 41::teeth:
Kwa udaktari wa Konnie, angalau mtoto afikishe miaka 7, mie ndio nilifanya hivyo kwa wote
Unataka mbuyu uwe Mwembe?? Kama ana miezi kadhaa hata mishipa yaweza mong'onyolewa.
Wakija madaktari watanibishia, ooha hakuna evidence, ila za kuambiwa changanya na zako.
Ukitaka kujua hata vitu vidogo vinaathiri ukuaji, panda ka mti afu kawekee kitu juu yake, kimti kitapinda kupisha kitu hicho.
...mkuu MziziMkavu kwani Mamndenyi ni mtaalam wa hii kitu...? mbona kanibania na mi nahitaji huduma yake...?bibie Mamndenyi Mimi ninataka wewe unitahiri govi langu je utaweza? hahahahahah :biggrin::A S 41::teeth:
anytime from three weeks is okay. any doctor can do this, it is a minor operation, there is no harm at all..
Muache akue ili afanye maamuzi mwenyewe. Tena mi mamshauri umuache akue aonje likiwepo na aonje tena akisha kata na hapo atapata cha kusimulia, Ukimtoa afu akaja kudai ukubwani je?[/QUOTEto]
...daaah jomba, asije akanilaumu kwa kutomfanyia maamuzi ya msingi...
Mkuu Gefu Bibie.@Mamndenyi ninamtania ni mpenzi wangu huyooo wewe usimtanie tafadhali Mamndenyi...mkuu MziziMkavu kwani Mamndenyi ni mtaalam wa hii kitu...? mbona kanibania na mi nahitaji huduma yake...?
Muache akue ili afanye maamuzi mwenyewe. Tena mi mamshauri umuache akue aonje likiwepo na aonje tena akisha kata na hapo atapata cha kusimulia, Ukimtoa afu akaja kudai ukubwani je?[/QUOTEto]
...daaah jomba, asije akanilaumu kwa kutomfanyia maamuzi ya msingi...
ataAPRECIATE kwamba umempa choice
Mpaka ifike muda ambapo hiyo kitu itakuwa multipurpose, namuombea awe amepata elimu kuhusu circumcision, ajue si muhimu, na siajabu ina madhara kuliko faida.
Au wewe mdingi wake msaidie kumpa hiyo elimu. Elimika wewe kwanza.
LETS PREPARE FOR A CIRCUMCISION-FREE SOCIETY.
Nimeshakuambia hatahiri shauri yako utakuja kupigwa si umesikia Waziri wako mkuu jinsi anavyosema kuhus Raia wanaofanya fujo wapigwe? usije ukapigwa na polisi shauri yako mkuu Gefu...mkuu usihofu mi nataka huduma yake tu .....
ataAPRECIATE kwamba umempa choice
Mpaka ifike muda ambapo hiyo kitu itakuwa multipurpose, namuombea awe amepata elimu kuhusu circumcision, ajue si muhimu, na siajabu ina madhara kuliko faida.
Au wewe mdingi wake msaidie kumpa hiyo elimu. Elimika wewe kwanza.
LETS PREPARE FOR A CIRCUMCISION-FREE SOCIETY.
...umesomeka mkuu, ila ngumu kumeza,ngoja niongee na mama yeyoo...