Kutahiri

Kutahiri

Wadau ni wakati gani muafaka wa kumtahiri mtoto. Ni Dr gani au hospitali ipi nzuri nimpeleke junior. nitakuwa Dar soon so ningependa madactari wa dar...
Dr Amir yuko Fire ukiulizia utaelekezwa ni dokta mzuri sana
 
...nilipata simulizi ya dr mmoja aliharibu kabisa duduz ya jamaa mpaka akapelekwa polisi ndo maana na kuwa mwangalifu juu ya dr's siunajua junior ni handsome kuzidi mdingi wake...teh tehh...
Itakua ilikua bahati mbaya tu, lakini hii operation ni almost 100% sure.
 
Jidanganye

Huo mfinyango ndio utamu wenyewe
Unataka iwe plain kwani karatasi hiyo kusema unataka isikwame kwenye printer?

Muda mzuri wa kutahiri ni siku 7 tu za kuzaliwa na usimsubiria kuwa mkubwa mwili ukianza kuwa na mafuta inakuwa usumbufu mkubwa sana na mara nyingi husumbua sana kidonda au kuacha ngozi mfinyango ktk sehemu husika,mm wa kwangu nawatahiri ndani ya siku 7 tu.
 
Maumivu ya siku moja utalinganishaa na ladha ya kila siku?

Mie nawaonya tu

Ngozi ikikomaa sana inakua shida, na husababisha maumivu kwa kijana, ni bora kukatwa akiwa mdogo kuanzia wiki tatu ni poa tu. kumbuka ukiiwacha hii ngozi inakua lakini ukiitoa mapema zile cells zinahamia kwa dudus.. teh teh...
 
....asnte kwa muongozo huu,hii itanipa udadisi wa kutosha kablasijafanya maamuzi ya mwisho...

Inaonyesha nawe ni mtoto pia, acha ujinga peleka mtoto akatolewe uchafu, Biblia inasema baada ya siku saba tangu kuzaliwa,
 
kwi kwi kwi kwi kwi lol! hahahahaha kila ukiushika mkono wa sweta na mikono yako ilivyo laini litakuwa linakasirika lol!!!! sasa sijui utalikata vipi huku likiwa limekasirika kupita kiasi 🙂🙂

ha ha ha haaa
ha ha ha
kwiiiii kwiii kwiii MziziMkavu daaaah
umeniacha hoi,
jibu unalo wewe mwenyewe kama naweza au sitaweza.
 
hahahahahah lol! Sheikh MziziMkavu kumbe bado ni mkono wa sweta lol! halafu unataka assignment ya kuundoa mkono wa sweta unataka kumpa Mamndenyi lol!!!! asiee nimecheka sana....JF ni burudani ya aina yake.
Mkuu BAK umenichekesha Mimi umri niliokuwa nao miaka 48 unaweza kuamini bado nina Govi? Hospitali zote zilizokuwepo duniani bado niwe nalo mkono wa sweta?mimi nimekatwa huo mkono wa sweta miaka 45 iliyopita wakati nina umri wa miaka 4 nilikuwa ninamtania bibie kipenzi.@Mamndenyi
 
lol! hahahahaa najua ilikuwa ni katika kufurahisha jamvi Mkuu ndio maana nikaongeza na Sheikh lol!!!!
Kwi kwi kwi kwi


Mkuu BAK umenichekesha Mimi umri niliokuwa nao miaka 48 unaweza kuamini bado nina Govi? Hospitali zote zilizokuwepo duniani bado niwe nalo mkono wa sweta?mimi nimekatwa huo mkono wa sweta miaka 45 iliyopita wakati nina umri wa miaka 4 nilikuwa ninamtania bibie kipenzi.@Mamndenyi
 
Jidanganye

Huo mfinyango ndio utamu wenyewe
Unataka iwe plain kwani karatasi hiyo kusema unataka isikwame kwenye printer?

Looh! Mfinyango ndo utamu kumbe! Hahaha nimecheka hapo kwenye plain kama karatas ati haikwami kama kwenye printer!

anyway me navyojua mtu akishajua kugegeda inakuwa ngumu kutahiriwa na anapata maumiv makali hasa akikumbuka tendo as mashine inaposimama inapelekea nyuzi alizoshonwa kukatika na kuongeza maumiv! Wengne huwa wanashonwa mara ya pili kutokana na hlo so ni hatari sana na inapelekea kidonda kuchelewa kupona.
 
Inaonyesha nawe ni mtoto pia, acha ujinga peleka mtoto akatolewe uchafu, Biblia inasema baada ya siku saba tangu kuzaliwa,

...asante kwa ushauri wako..hapo kwenye red umekosea...suala la biblia si kila andiko una quote neno kwa neno, mahali pengine tunaangalia muktadha wa somo na kama andiko husika lilikuwa influenced na mila na desturi za mahali/jamii husika,na kubwa zaidi impact yake kiroho na si riturujia,nadhani umenielewa bwana MWEREVU...
 
Back
Top Bottom