Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Wana jukwaa
kwa mtazamo wangu naona kuna kitu hakipo sawa hapa
hivi inakuwaje dereva mwenye Leseni sahihi uliyemtuma kazi apeleke mzigo mahali aamue kuchanganya na mkaa au pengine wakati anarudi abebe mkaa akamatwe halafu gari litaifishwe?
Naweza kuhusianisha kosa hilo na mifano ifuatayo;
Kwa mtazamo wangu adhabu ingekuwa kali kwa muhusika labda kama mmiliki/muajiri awe ameshirikiana na dereva wake.
kwa mtazamo wangu naona kuna kitu hakipo sawa hapa
hivi inakuwaje dereva mwenye Leseni sahihi uliyemtuma kazi apeleke mzigo mahali aamue kuchanganya na mkaa au pengine wakati anarudi abebe mkaa akamatwe halafu gari litaifishwe?
Naweza kuhusianisha kosa hilo na mifano ifuatayo;
- Hivi unaonaje kama umemwajiri Daktari atibu watu, akamwandikia mgonjwa dawa isiyo sahihi, adhabu iwe ni kutaifisha kwa Hospitali?
- Hivi unaonaje uajiri mwalimu mwenye sifa ila itokee kuwa hana maadili halafu adhabu iwe ni kutaifisha shule?
- Unaonaje kumkodishia mtu shamba alime mahindi halafu aamue kuchanganya na bangi adhabu iwe ni kutaifisha shamba?
Kwa mtazamo wangu adhabu ingekuwa kali kwa muhusika labda kama mmiliki/muajiri awe ameshirikiana na dereva wake.