Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Looh!! Ulivyowahi kujibu utadhani una mnara na um-experience [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ibrahim Baba wa imani alitahiriwa akiwa mtu mzima. Changamoto ni pale mnara unapopanda kidonda kinachelewa kupona.
Hakuna siri ya watu wawili.Ndugu zangu naomba kujuzwa Kuna madhara yeyote ya kufanya tohara kwa mtu wa umri wa miaka 50? Kuna kikwazo chochote kwa hospitali kufanya hivyo? Kuna doctor anayeweza fanya hivyo kwa usiri ukizingatia umri huo? Nawakilisha
Huyo ni mtaalamu wa masuala ya afya, usishangae kuhusu hilo jibuLooh!! Ulivyowahi kujibu utadhani una mnara na um-experience [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Natambua sana mkuu ndiyo maana nikaweka emoji za kucheka. Nimeshasoma michango yake mingi inayohusiana na maswala ya afya. [emoji120]Huyo ni mtaalamu wa masuala ya afya, usishangae kuhusu hilo jibu
Ili nichakate mbususu kwa usahihi kuepuka usumbufu wa mkono wa swetaunataka kutahiri uzeen ili iweje?
Dar. Maeneo ya tabataSema ulipo upate jibu sahihi