Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 915
- 54
Wakati viongozi wa Tanzania (Mawaziri nk) 23% wametaja mali zao na 77% sawa 7,000. wamegoma kutaja, siku zinazidi kuyoyoma na mwisho ni tarehe 31/12/2009
Swali ni je hawa 7,000 wasipotaja watafukuzwa kazi? na wakifukuzwa serikali inao uwezo wa kuajili idadi kubwa hii?
Ni kwanini hawajataja wakati sheria inasema ukiajiliwa, unatakiwa kutaja ndani ya siku 30?
Swali ni je hawa 7,000 wasipotaja watafukuzwa kazi? na wakifukuzwa serikali inao uwezo wa kuajili idadi kubwa hii?
Ni kwanini hawajataja wakati sheria inasema ukiajiliwa, unatakiwa kutaja ndani ya siku 30?