KIKUNGU
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 845
- 587
RR,
Mie nimeishia kushangaa na kujiuliza mambo ambayo labda ni ya kizamani kama mimi...
Na pia inawezekana kwa sababu tunatoka katika mazingira na makuzi tofauti, ndo maana vitu vingine vinaonekana havijavuka mpaka!
Yaani kutendo cha kufikiri tu kwamba siku moja, dume jingine lije licheze na watoto wangu (ambao nimeaminishwa na mama yao kuwa ni wangu) kabla sijatumiwa salamu za R.I.P, nahisi uchungu sana!
Anyway, najua hii haiwezi kutokea mbele ya macho yangu nikiwa mzima wa akili na mwili!!
Babu DC!!
Babu DC,naweza sema umri ni tiba haswa katika mambo kama haya lakini inaelekea pamoja na kula chumvi nyingi,kusema hili unalishangaa na kuwa haiwezi kutokea mbele ya macho yako ukiwa mzima wa akili na mwili "is beyond me".Mimi ni sio babu lakini ni kijana wa 80's,you know what i mean,haya siyo ya kuhadithiwa bali yamenikuta,tena hapa hapa nyumbani with the first world exposure though.
Kwa hiyo yapo na yanatukuta binadamu na watz in general.Cha msingi babu tuombe mungu yasikupitie moyoni mwako na tusali kila siku ili ndoa zetu zisiingiwe na mauzauza haya.
Ubarikiwe sana babu DC