Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
- Thread starter
- #441
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha zaidi utazipata ktk page yangu ya istagram. Fundi mahiri wa ujenziView attachment 862778
Picha zaidi utazipata ktk page yangu ya istagram. Fundi mahiri wa ujenziView attachment 862778
Gharama hutegemeana na mchoro ulivyo, land scape na locationGharama zako zikoje
Kama eneo halijapimwa we Jenga tu. Ila waone Kwanza serikali ya mtaa wakupe kibali Cha kuendeleza eneoHabari zenu wadau?..... Kwa wale wajuv, naomba kujua juu ya mchakato kabla ya kuanza ujenzi, je ni lazima kufuatilia kibal cha ujenzi ofisi za ardhi? Je ili kupata hcho kibal kuna gharama za kulipia? Zip?...... Kama si lazima bas ipi njia salama ktk mchakato (kujenga) kuepuka kubomolewa.......,.... Eneo lenyewe ni jpya watu ndio wanaingia kujenga na viwanja vng havijapmwa including lang........ Ur opinion plz/tafadhal
Anaweza kujenga jengo LA gorofa hapo bila building permitKuhusu kibali cha ujenzi.
Kama eneo lako lina hati nenda wilayani kitengo cha engineering ukiwa na ramani,hati miliki na site plan. Ila kama hayo maeneo hayajapimwa hakuna kibali . we jenga tu
Anaweza kujenga jengo LA gorofa hapo bila building permit
Swali kiongoziHili ni swali au maelezo?
Picha zaidi utazipata ktk page yangu ya istagram. Fundi mahiri wa ujenziView attachment 862778