Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Mkuu nina mambo mawili kwanza nna boma nataka nimalizie ili niamie pili nilijenga mabanda ya kuku ya tope sasa nataka nivunje nijenge ya tofali lakin nataka hayo mabanda yawe ndo uzio unaweza kunipa mchanganuo
 
Hi quotation umeiandaa wewe? Mbona inamapungufu mengi Sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…