Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

Kutana na fundi mahiri wa ujenzi wa nyumba

IMG-20190204-WA0006.jpg
 
Hivi nikitaka kujenga nyumba ya ghorofa moja lakini katika kusave gharama nikanunua cement na nondo kutoka kiwandani moja kwa moja as a retailer, nitakua nimesave au nothing changed? Kama nitafanikiwa kusave ni kiasi gani?

Tofali nitapendelea ya interlock
Sorry Mkuu una fundi mzuri wa Interlock ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom