Fundi rangi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 3,527
- 1,210
Habari ndg. Skimming nafanya na kupaka rangi, na sasa nimeenda hatua kidogo hiyo conmix unayosema naizalisha mwenyewe kwenye kiwanda changu, sehemu kubwa ya majengo yote hayo namepiga hiyo material, na ningumu mno kuliko hiyo conimix ambayo ni Powder form, yangu ni riquid form.Unapiga rangi tu au na skimming ?? Conmix unaweza ??
Kabisa vitu hivi vitu sasa unavipata hapa.kama ulaya vile
Huu ndiyo mwonekano wa rough plaster.Hizi ni moja ya kazi zetu nakshi ya nje kuta tumetumia material ambayo tumezalisha wenyewe tunaita Rough Plaster, wengine wanaita Conmix. 0766111212View attachment 2132587View attachment 2132590
Hii ni hotel kubwa ya nyota 5, inaitwa Marijani Hotel ipo Pwani Mchangani Zanzibar, tumefanya kazi ya Rangi ndani tumepaka rangi ya kawaida na nje tumepaka roughplaster ambayo tumezalisha wenyewe hapa Tanzania. 0766111212Huu ndiyo mwonekano wa rough plaster. View attachment 2132593View attachment 2132594View attachment 2132595View attachment 2132597
Jukumu letu nikuyapamba makazi yako.Hii ni hotel kubwa ya nyota 5, inaitwa Marijani Hotel ipo Pwani Mchangani Zanzibar, tumefanya kazi ya Rangi ndani tumepaka rangi ya kawaida na nje tumepaka roughplaster ambayo tumezalisha wenyewe hapa Tanzania. 0766111212View attachment 2132602View attachment 2132604View attachment 2132606View attachment 2132607View attachment 2132609
Ww unafnya Kazi ya Rangi tu? Mm nataka Mtu wa kunifanyia hizo nakshi Kama hizo za Dari hapo na kama hiyo sehemu ya Kuweka TvJukumu letu nikuyapamba makazi yako.
0766111212.View attachment 2132941
Ndg kwa sasa tunafanya kila kitu kwenye ujenzi kuanzia uchoraji ramani mpaka kukabidhi jengo. Na nakshi za TV walls tunazo mbalimbali.Ww unafnya Kazi ya Rangi tu? Mm nataka Mtu wa kunifanyia hizo nakshi Kama hizo za Dari hapo na kama hiyo sehemu ya Kuweka Tv
Lakini pia tinatoa ushauri wa ni nini kifanyike kwenye hatua ya finishing na wakati gani sahihi, nani atangulie nani asubiri.Ndg kwa sasa tunafanya kila kitu kwenye ujenzi kuanzia uchoraji ramani mpaka kukabidhi jengo. Na nakshi za TV walls tunazo mbalimbali.
Zote hizi ni Design za kuta za TV.Lakini pia tinatoa ushauri wa ni nini kifanyike kwenye hatua ya finishing na wakati gani sahihi, nani atangulie nani asubiri.
Hapo hakuna picha yaku download ni kazi zimefanyika hapahapa Tz. 0766111212Zote hizi ni Design za kuta za TV.View attachment 2133008View attachment 2133010View attachment 2133017View attachment 2133019