Ndg zangu leo nawaletea Rough Plaster, ni Materials ambayo nnimezalisha mwenyewe hapa Tanzania. Kampuni yangu inaitwa Mimina Ltd.
1. Conmix
2. Wall Master
3. Rough material
4. Rough Plaster
Haya ndo majina yaliyo zoeleka.
Ya kwangu ipo kwenye ndoo, ujazo ni 30kg na ndoo 1 inaweza kupaka ukubwa wa 8sqm. Bei ni tsh. 80,000.
Za makampuni mengine wanauza kari ya 110,000 mpka 130,000
Project kubwa ambayo nimefanya ni Marijani Hotel iliyopo Pwani Mchangani Zanzibar.
Utanipata kwa no hii. 0766111212
View attachment 2207750View attachment 2207754View attachment 2207757View attachment 2207758
View attachment 2207753