Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,644
- 1,648
Ntawatafuta aiseeNamaanisha ukisha piga Plaster, unapaka hiyo Rough Plaster kisha rangi unayotaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntawatafuta aiseeNamaanisha ukisha piga Plaster, unapaka hiyo Rough Plaster kisha rangi unayotaka.
Karibu sana Ndg.Ntawatafuta aisee
Karibu Sana ndg.Watu wanadai conmix imepitwa na wakati ila kwa kazi hii huyu jamaa siku yake nitamtafuta
View attachment 2213846
Utatupata kwa no 0766111212.Hizi ni sehemu ya kazi ambazo zimefanywa na Rough Plaster View attachment 2214089View attachment 2214090
Ndg zangu leo nawaletea Rough Plaster, ni Materials ambayo nnimezalisha mwenyewe hapa Tanzania. Kampuni yangu inaitwa Mimina Co Ltd.
1. Conmix
2. Wall Master
3. Rough material
4. Rough Plaster
Haya ndo majina yaliyo zoeleka.
Ya kwangu ipo kwenye ndoo, ujazo ni 30kg na ndoo 1 inaweza kupaka ukubwa wa 8sqm. Bei ni tsh. 80,000.
Za makampuni mengine wanauza kari ya 110,000 mpka 130,000
Project kubwa ambayo nimefanya ni Marijani Hotel iliyopo Pwani Mchangani Zanzibar.
Utanipata kwa no hii. 0766111212
View attachment 2207750View attachment 2207754View attachment 2207757View attachment 2207758
View attachment 2207753
Ndg ikiwa sikosei materials unayoizungumzia ipo kwenye mifuko, yaani powder form, kiutafiti materials ambazo ni Liquid form ni Aghali mno, na Durability yake ni kubwa mno kuliko ya mifuko, hivi karibuni nitaanza kuzalisha za mifuko 30kg haitazidi ths.35,000.Hongera sana…..lakini kama unazalisha wewe kwann bei iwe juu sana kuliko minat decor inayokuwa imported na inapiga square meter nane kama yako!?
Angalia suala la bei!
[emoji122][emoji122][emoji122]Safi sana inapendeza
Karibu ndg.rtyr
Nawashukuru mno ndg zangu mnao endelea kuniunga mkono Mtanzania mwenzenu. Kiwanda kipo Tegeta jirani na kiwanda cha Ando roofing.Nice