Kutana na Karen, binti wa Gardner G. Habash

Kutana na Karen, binti wa Gardner G. Habash

Status
Not open for further replies.
Mleta uzi bila shaka utakuwa na ugomvi na Gadner au umetumwa na wagomvi wake. Ila nimesikitika kumuingiza mtoto katika kadhia ambalo yeye hahusiki kabisa!!
Nawaomba sana wana JF tuache kuwaingiza watoto kwa makosa ua wazazi wao. Je, wewe ukihukumiwa kwa makosa ya Baba yako au Mama yako,utajisikiaje?
Please leave the kids aside...
 
Siungi mkono ushabiki wa kijinga kama uloletwa hapa, nijuavyo Jaydee na Gadner hawajaanza kulumbana leo, hata nyimbo wametungiana, kwa nini sasa tunaanza kumshirikisha huyo binti, kahusikaje kwenye ugonvi huo?
uzi wa mwaka 2014
 
Mleta uzi bila shaka utakuwa na ugomvi na Gadner au umetumwa na wagomvi wake. Ila nimesikitika kumuingiza mtoto katika kadhia ambalo yeye hahusiki kabisa!!
Nawaomba sana wana JF tuache kuwaingiza watoto kwa makosa ua wazazi wao. Je, wewe ukihukumiwa kwa makosa ya Baba yako au Mama yako,utajisikiaje?
Please leave the kids aside...
mbona huu uzi n wa mwaka 2014
 
Sasa huyu ni mtoto wa mbwa mpaka wake asikojozwe?akitaka staha kwenye mtoto wake awe na staha kwa watoto wawatu,jide alikua mke mwaminifu ndio mana alikojoa kwa mmewe na yeye?tulia mtoto akojozwe tena kwa ushahidi jinamizi hili litamuandama siku zote
 
Haijalishi ni wa mwaka gani pointi yangu mleta uzi unge deal na Gadner kama yeye na si mtoto!!
Wewe magomvi ya wazazi wako una adhibiwa wewe??
huu uzi ulikuwa wa huyu mtoto wa gadner maana kipindi icho alikuwa anaenda klub ucku na kuzurura na watu waliomzidi umri ila baada ya tukio la juzi ndivyo watu wamenza kuchangia vitu vingine so jamaa kajitakia mwenywe
 
Gadner kasema amemkojoza JD kwa miaka 15,huyo wa kwake anakojozwa na nani?
Kwani wewe unakojozwa na nani?

Mitanzania minafiki sana, kila mtu anakojoza mwanamke na hii nchi ni miongoni mwa nchi zenye viwango vya juu vya uzinzi duniani. Nini cha ajabu Gadner kumkojoza JD? Mnadhani walikuwa kaka na dada? Upuuzi mtupu kutanguliza mihemko kwenye ugomvi wa wapenzi badala ya kushika jembe ukalime
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom