ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hongera bwana Tony Chaula muunda magari.
Kutana na Eston Chaula, maarufu kama Tony, kijana aliyeishia darasa la saba lakini anauwezo wa kufikiri muundo wa gari analolitaka na kuliunda kwa kutumia vifaa anavyoweza kuvipata kwa gharama ndogo.
Soma Pia: Gari la kwanza la umeme lazinduliwa Tanzania
My Take: Hakuna haja ya Kuagiza magari kutoka China na Japan,tuwawezeshe Wabunifu Wetu wa ndani mfano Kipanya,Nyumbu Trucks na huyu hapa 👇👇
Kutana na Eston Chaula, maarufu kama Tony, kijana aliyeishia darasa la saba lakini anauwezo wa kufikiri muundo wa gari analolitaka na kuliunda kwa kutumia vifaa anavyoweza kuvipata kwa gharama ndogo.
Soma Pia: Gari la kwanza la umeme lazinduliwa Tanzania
My Take: Hakuna haja ya Kuagiza magari kutoka China na Japan,tuwawezeshe Wabunifu Wetu wa ndani mfano Kipanya,Nyumbu Trucks na huyu hapa 👇👇
