Kutana na Kijana wa Tanzania Anaeunda Magari. Wakifanya Kolabo na Kipanya Watafika Mbali

Kutana na Kijana wa Tanzania Anaeunda Magari. Wakifanya Kolabo na Kipanya Watafika Mbali

Huyu Yuko vizuri kuliko masoud kipanya

Huyu katengeneza gari ambayo tayari inatumika kutatua changamoto za kusafirisha mizigo kijijini unafanya kazi

Gari ya kipanya ipo tu kuuza sura Kwa kupigwa picha tu ni kama mdoli tu

Huyu chaula aungwe mkono sababu anachofanya kinaonekana kazini tayari
Naunga mkono hoja.
 
Ni hatua kubwa kimazingira pia chuma chakavu kinatumika vizuri pia inampunguzia gharama za kuunda hizo gari
hoja yangu ni kwamba, uagizaji toka China na Japan uko pale pale
maana chakavu za huko ndiyo malighafi za huyo jamaa
 
hoja yangu ni kwamba, uagizaji toka China na Japan uko pale pale
maana chakavu za huko ndiyo malighafi za huyo jamaa
Inapunguza uagizaji sababu angekuwa hajagundua Ina maana angeagixa gari japani Kwa pesa za kigeni

Hapo pesa za kigeni zimenusurika
 
Wabongo tujikite kuvumbua vitu vipya haya ya kuunganisha magari sio kitu kipya amna mtu wa kununua ligari lilio chomelewa tz aacha kitu cha japan
 
Hongera bwana Tony Chaula muunda magari.

Kutana na Eston Chaula, maarufu kama Tony, kijana aliyeishia darasa la saba lakini anauwezo wa kufikiri muundo wa gari analolitaka na kuliunda kwa kutumia vifaa anavyoweza kuvipata kwa gharama ndogo.

Soma Pia: Gari la kwanza la umeme lazinduliwa Tanzania

My Take: Hakuna haja ya Kuagiza magari kutoka China na Japan,tuwawezeshe Wabunifu Wetu wa ndani mfano Kipanya,Nyumbu Trucks na huyu hapa 👇👇

Mchawi vifaa, inabidi aagize hasa engine
 
Hongera bwana Tony Chaula muunda magari.

Kutana na Eston Chaula, maarufu kama Tony, kijana aliyeishia darasa la saba lakini anauwezo wa kufikiri muundo wa gari analolitaka na kuliunda kwa kutumia vifaa anavyoweza kuvipata kwa gharama ndogo.

Soma Pia: Gari la kwanza la umeme lazinduliwa Tanzania

My Take: Hakuna haja ya Kuagiza magari kutoka China na Japan,tuwawezeshe Wabunifu Wetu wa ndani mfano Kipanya,Nyumbu Trucks na huyu hapa 👇👇

Namuonea huruma sana kwa yanayoenda kumtokea, bora angeachana kabisa na hicho anachokifanya
 
Wanafikiria na kumuonea huruma huyo dogo.
Mi naona kama anatumia nguvu nyingi na muda kwa kitu ambacho hakitomlipa kamwe. Hata china hawakupoteza muda kuanzia chini kote huko. Magari tayari yapo tele, tena ya kisasa na very economical. Cha kufanya ni kuanzia walikofikia wenzetu na kuangalia namna ya kuja na innovations ili kuyaongezea thamani zaidi. Hata huyo Kipanya naye aliamua kupoteza muda wake kwenye yale magari tu.
 
Wabongo tujikite kuvumbua vitu vipya haya ya kuunganisha magari sio kitu kipya amna mtu wa kununua ligari lilio chomelewa tz aacha kitu cha japan
Naona utoto tu , hivi hayo mabati wanauonganisha ambapo kila spares ni za nje kuna nn cha maana kweny soko la dunia !?
Miaka hii kujadili mambo kama hayo ni utoto .
 
Hakuna ubunifu hapa
Umenena kweli kabisa, kwa tafsiri sahihi ya neno ubunifu, hapo wanachokifanya ni hakuna kitu kabisa. Ni kama yule mwenzao alipoteza muda mwingi sana eti anaunda helikopta, na viongozi wa serikali nao kabisa wanaenda kumtembelea na kumtia moyo.
 
We umebuni nini mkuu

Ova
Anahatarisha maisha yake
Umenena kweli kabisa, kwa tafsiri sahihi ya neno ubunifu, hapo wanachokifanya ni hakuna kitu kabisa. Ni kama yule mwenzao alipoteza muda mwingi sana eti anaunda helikopta, na viongozi wa serikali nao kabisa wanaenda kumtembelea na kumtia moyo.
Wanahatarisha maisha yao kwa vitu ambavyo vimeshabuniwa na wako mbali hapo kila kifaa kaunganisha kimetoka katika mashine nyingine za kichina.
 
Back
Top Bottom