Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,373
- 1,271
Na pia uzazi wa mpangoGono imetesa watu sana zamani usiichukulie poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na pia uzazi wa mpangoGono imetesa watu sana zamani usiichukulie poa
Kumbe hukuepo kipindi UKIMWI inaitwa Juliana, unajua seke seke la kaswende? watoto wa 90's hawawezi elewaIngekuwa ni Mimi nisingekuwa natumia, kwanza zamani hakukuwa na UKIMWI kama sasa 😜
Wakati UKIMWI unaingia Nchini I was in my 37's yaani damu ilikuwa inachemka hasa 😜Kumbe hukuepo kipindi UKIMWI inaitwa Juliana, unajua seke seke la kaswende? watoto wa 90's hawawezi elewa
Sahihi Mkuu, ila nilikuwa mwaminifu mno kwahiyo hayo maradhi nilikuwa nayasikia Kwa watu tu 🤗Zama hizo hakukuwa na Antibiotics za kutibu Gono na syphilis.... Weka hii kwenye kumbukumbu zako
Kwasasa ni ngumu maana hata nguvu zenyewe zimeisha,saivi naweza kususiwa PisiKali na kazi ikanishinda kutokana na Uzee wangu 😜Hatuwezi kurewind?
Nimekutangulia kidogoWakati UKIMWI unaingia Nchini I was in my 37's yaani damu ilikuwa inachemka hasa 😜
Mzee mwenzangu unanifelisha sanaKwasasa ni ngumu maana hata nguvu zenyewe zimeisha,saivi naweza kususiwa PisiKali na kazi ikanishinda kutokana na Uzee wangu 😜
Hahaha.............Sina ujanja Mkuu, mara ya mwisho niliwahi kususiwa kazi Moja hivi Kali balaa, lakini nasikikita hakuna nilichofanikiwa zaidi ya kuambilia kukunwa kidevu changu chenye ndevu nyeupe 🤗Mzee mwenzangu unanifelisha sana
Mtu mzima haishiwi mbinu
Mzee mwenzangu unataka kuniambia, umeshavuka 60 yrsHahaha.............Sina ujanja Mkuu, mara ya mwisho niliwahi kususiwa kazi Moja hivi Kali balaa, lakini nasikikita hakuna nilichofanikiwa zaidi ya kuambilia kukunwa kidevu changu chenye ndevu nyeupe 🤗
Mkuu nimestaafu Mwaka 2005, kwahiyo hata hizo PisiKali naishia kuziona Kwa TV tu 🤗 🙌Mzee mwenzangu unataka kuniambia, umeshavuka 60 yrs
Mpaka unashindwa kunyanyua AK-47?
Pole sana mzee mkuuKwasasa ni ngumu maana hata nguvu zenyewe zimeisha,saivi naweza kususiwa PisiKali na kazi ikanishinda kutokana na Uzee wangu 😜
Pole mzee mwenzangu sisi acha tuendelee japo km zinaelekea ukingoniMkuu nimestaafu Mwaka 2005, kwahiyo hata hizo PisiKali naishia kuziona Kwa TV tu 🤗 🙌
Hongereni Mzee mwenzangu, Mimi umri unaniangusha kusema kweli 🤗Pole mzee mwenzangu sisi acha tuendelee japo km zinaelekea ukingoni
Kubaliana na matokeoHongereni Mzee mwenzangu, Mimi umri unaniangusha kusema kweli 🤗
Kwa kweli Sina jinsi zaidi ya kuendelea kuwa ndugu mtazamaji 😜🙌Kubaliana na matokeo