Kutana na M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Bunda mwenye umri wa miaka 20

Kutana na M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Bunda mwenye umri wa miaka 20

Bhise

Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
19
Reaction score
14
IMG-20221107-WA0020.jpg


Huyu ndiye Mwenyekiti wa UVCCM mdogo kuliko wote Tanzania. Ana umri wa Miaka 20.

Tunawapongeza UVCCM Tanzania chini ya Kenani Kihongosi kwa kuhakikisha wanapata watu sahihi kwa wakati sahihi.

Huyo aonekanaye kwenye picha ana majina mawili tofauti na anamiliki vitambulisho viwili tofauti.

Jina lake halisi ni FAUSTINE NYAKIRE JOHN
Mwenye namba za NIDA - 19931205315040000122
Kwa taarifa za NIDA Ina maana ana Miaka 29

Jina lake bandia alilotumia kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Bunda ni MOHAMMED JUMA MSAFIRI.
Aliyezaliwa tarehe 05/12/2002
Ana umri wa Miaka 20

Kama wanachama wengine wanaondolewa kwa kufoji umri na vyeti vya kuzaliwa uhalali wa huyu Mwenyekiti mdogo kuliko wote Tanzania kuendelea kushika madaraka unatoka wapi?

Nani yupo nyuma ya huyu hadi anakingiwa kifua?

KWAKO STUDIO, KWAKO KENANI KIHONGOSI.
 
Siyo mzee vijana wa mikoani ndivyo walivyo sura zao zinakuwa ngumu kutoka na lishe.
hata kama vijana wa mikoani ndivyo walivyo ila huyu hahaha 😂😂😂 CCM kuna mambo nyie
 
kijana kamshinda vibaya kwenye chama amebaki analia lia kwenye mitandao
 
View attachment 2419091

Huyu ndiye Mwenyekiti wa UVCCM mdogo kuliko wote Tanzania. Ana umri wa Miaka 20.
Tunawapongeza UVCCM Tanzania chini ya Kenani Kihongosi kwa kuhakikisha wanapata watu sahihi kwa wakati sahihi.

Huyo aonekanaye kwenye picha ana majina mawili tofauti na anamiliki vitambulisho viwili tofauti.

Jina lake halisi ni FAUSTINE NYAKIRE JOHN
Mwenye namba za NIDA - 19931205315040000122
Kwa taarifa za NIDA Ina maana ana Miaka 29

Jina lake bandia alilotumia kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Bunda ni MOHAMMED JUMA MSAFIRI.
Aliyezaliwa tarehe 05/12/2002
Ana umri wa Miaka 20

Kama wanachama wengine wanaondolewa kwa kufoji umri na vyeti vya kuzaliwa uhalali wa huyu Mwenyekiti mdogo kuliko wote Tanzania kuendelea kushika madaraka unatoka wapi?
Nani yupo nyuma ya huyu hadi anakingiwa kifua?

KWAKO STUDIO, KWAKO KENANI KIHONGOSI.
Sasa nimeamini CLEMENT MZIZE Ana miaka 19![emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom