Kutana na M/kiti wa UVCCM Wilaya ya Bunda mwenye umri wa miaka 20

Nimekumbuka siku moja nioikutana na jamaa kavaa nguo za CCM,ananiambia eti ni kiongozi wa UVCCM,nikabaki nacheka,ila alishtukia,baadae tukapigiana simu,tukacheka kinoma.Fojari inafanyika sana.
 
mbona anaonekana kama ana 45, au anazeeka kwanza afu ndipo arudi ujana.
 
Hahahhaha kama woman king ivπŸ˜‚πŸ˜‚kijana anaonekana ndogo kabsa
 
ANATOFAUTI GANI NA HUYU MWENYE MIAKA 19[emoji1787][emoji1787]
 
Yaani nyanya chungu hiyo ina miaka 20? Polokodio madona somalo fankulu!
 
Huyo ameota mavuzi tangu 2002 piga hesabu leo 2022 Novemba atakuwa na umri gani.
Eti ana umri wa miaka 20? Danganyeni wajinga wenzenu.
 
Ebhise.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…