666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Yaani kuna members wengine ni kama wamekwisha kukalili jina basi kila utakapo post kitu au kucomment kitu ni lazima ata kupinga au kukukashifu tu ilihali umeongea vitu vya kawaida tu, tena sometimes hata umemsalimia mtu lakini utashangaa tu jamaa ka reply yeye hio thread kwa kashifa.
Naona sanaa members wengi humu wakitukanwa au kukosolewa na watu wale wale walio wakosoa kwenye nyuzi nyingine kabla,mambo mengine madogo tu.
Kuna members wengine hao wao wamezaliwa ku hate tu, hapo ukitaja kitu cha maendeleo asee utajuta, na kuna mijitu iko negative tu yaani kwa kila kitu kila hali.
Wengine wao mada ina husu mambo mengine ila watajadili vitu vyao personal hai wanapotezesha lengo la nyuzi husika.
Haya mambo yamekwisha kutokea na umekwisha jionea mwenyewe, sina jipya ila nataka tu ni wa wish happy birthday members wa hivi, live long fam.
Naona sanaa members wengi humu wakitukanwa au kukosolewa na watu wale wale walio wakosoa kwenye nyuzi nyingine kabla,mambo mengine madogo tu.
Kuna members wengine hao wao wamezaliwa ku hate tu, hapo ukitaja kitu cha maendeleo asee utajuta, na kuna mijitu iko negative tu yaani kwa kila kitu kila hali.
Wengine wao mada ina husu mambo mengine ila watajadili vitu vyao personal hai wanapotezesha lengo la nyuzi husika.
Haya mambo yamekwisha kutokea na umekwisha jionea mwenyewe, sina jipya ila nataka tu ni wa wish happy birthday members wa hivi, live long fam.