Huyu ni mla bata wa kishua ambae anatembea nchi nyingi sana hana stress na maisha yeye ni bata za kishua sio vumbivumbi na ni mtu wa kucruise kwenye yatch na hotel kubwa she's a globe trotter kama anavyojiita.
Lakini makazi yake yasemekana ni Nigeria.Account yake ya IG ina followers mastaa maarufu Africa na duniani.
Mwonekano wake she is thick and she has sexy innocent eyes with watery *ss.Unaweza kutembelea account yake "iambrendak".Ila msije mkavamia page zake kuanza kuongea hovyo unakula tofari"block".
View attachment 1237799