Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
๐๐๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฏ๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ ๐ฏ๐ฒ๐๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐ฝ๐๐ผ๐ฝ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐๐บ๐ฒ๐บ๐ฒ
Tanzania tunaweza bhana โ
Kuna na mvumbuzi kutoka Tanzania anaitwa Gibson kawaga aliyebadili betri mbovu za laptop zilizotupwa kuwa nishati endelevu katika Kijiji kimoja kilichopo mkoa wa iringa Nchini Tanzania.
Historia ya Gibson kuwa mvumbuzi ilianzia kwenye familia yake walikua na changamoto ya kukosa umeme kwa kuishi Kila siku bila umeme, ndiyo maisha halisi kwa zaidi ya nusu wakazi wa Kijiji chao.
Familia nyingi kwenye mkoa wa iringa bado zinategemea taa za mafuta ya taa pamoja koroboi ambazo hazifai na zinaharibu afya na mazingira.
Kutokana na changamoto hii Mtaalamu Gibson kawaga akaamua kutatua changamoto ya Kijiji chao kwa kuvumbua umeme ambao unatumia betri za laptop Zilizotupwa na kutoa mwanga pamoja na matumizi mengine nyumbani na maofisini nchini kote Tanzania.
Sasa wakazi wengi wa iringa kwenye Kijiji chao wanapata umeme kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaisha na biashara baada ya kawaga kuwatoa kwenye matumizi ya Mafuta na kuanzia kutumia nishati ya Umeme.
Kupitia hali hii kampuni ya WAGA ikaanzishwa, Gibson amebadilisha e-waste kuwa chanzo cha nishati nafuu na endelevu, na kusaidia kukabiliana na tatizo la nishati nchini Tanzania na kutoa mustakabali mzuri na wa kijani kwa watu wake.
Source: #bongotech255
#teknolojia #tanzania #teknolojianiyetusote
Tanzania tunaweza bhana โ
Kuna na mvumbuzi kutoka Tanzania anaitwa Gibson kawaga aliyebadili betri mbovu za laptop zilizotupwa kuwa nishati endelevu katika Kijiji kimoja kilichopo mkoa wa iringa Nchini Tanzania.
Historia ya Gibson kuwa mvumbuzi ilianzia kwenye familia yake walikua na changamoto ya kukosa umeme kwa kuishi Kila siku bila umeme, ndiyo maisha halisi kwa zaidi ya nusu wakazi wa Kijiji chao.
Familia nyingi kwenye mkoa wa iringa bado zinategemea taa za mafuta ya taa pamoja koroboi ambazo hazifai na zinaharibu afya na mazingira.
Kutokana na changamoto hii Mtaalamu Gibson kawaga akaamua kutatua changamoto ya Kijiji chao kwa kuvumbua umeme ambao unatumia betri za laptop Zilizotupwa na kutoa mwanga pamoja na matumizi mengine nyumbani na maofisini nchini kote Tanzania.
Sasa wakazi wengi wa iringa kwenye Kijiji chao wanapata umeme kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaisha na biashara baada ya kawaga kuwatoa kwenye matumizi ya Mafuta na kuanzia kutumia nishati ya Umeme.
Kupitia hali hii kampuni ya WAGA ikaanzishwa, Gibson amebadilisha e-waste kuwa chanzo cha nishati nafuu na endelevu, na kusaidia kukabiliana na tatizo la nishati nchini Tanzania na kutoa mustakabali mzuri na wa kijani kwa watu wake.
Source: #bongotech255
#teknolojia #tanzania #teknolojianiyetusote