๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ฝ๐˜๐—ผ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—บ๐—ฒ

๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ฝ๐˜๐—ผ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—บ๐—ฒ

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
620
Reaction score
1,240
๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ฝ๐˜๐—ผ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—บ๐—ฒ

1.png

Tanzania tunaweza bhana โœ…

Kuna na mvumbuzi kutoka Tanzania anaitwa Gibson kawaga aliyebadili betri mbovu za laptop zilizotupwa kuwa nishati endelevu katika Kijiji kimoja kilichopo mkoa wa iringa Nchini Tanzania.

2.png


Historia ya Gibson kuwa mvumbuzi ilianzia kwenye familia yake walikua na changamoto ya kukosa umeme kwa kuishi Kila siku bila umeme, ndiyo maisha halisi kwa zaidi ya nusu wakazi wa Kijiji chao.

3.png


Familia nyingi kwenye mkoa wa iringa bado zinategemea taa za mafuta ya taa pamoja koroboi ambazo hazifai na zinaharibu afya na mazingira.

Kutokana na changamoto hii Mtaalamu Gibson kawaga akaamua kutatua changamoto ya Kijiji chao kwa kuvumbua umeme ambao unatumia betri za laptop Zilizotupwa na kutoa mwanga pamoja na matumizi mengine nyumbani na maofisini nchini kote Tanzania.

SaveClip.App_476553834_18371517820139073_600591775678401809_n.jpg


Sasa wakazi wengi wa iringa kwenye Kijiji chao wanapata umeme kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaisha na biashara baada ya kawaga kuwatoa kwenye matumizi ya Mafuta na kuanzia kutumia nishati ya Umeme.

Kupitia hali hii kampuni ya WAGA ikaanzishwa, Gibson amebadilisha e-waste kuwa chanzo cha nishati nafuu na endelevu, na kusaidia kukabiliana na tatizo la nishati nchini Tanzania na kutoa mustakabali mzuri na wa kijani kwa watu wake.

Source: #bongotech255
#teknolojia #tanzania #teknolojianiyetusote


SaveClip.App_476478349_18371517811139073_8332739625658391787_n.jpg
 
๐—ž๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐˜๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ๐—ป๐—ถ๐—ฎ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ ๐—ฏ๐—ฒ๐˜๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐—น๐—ฎ๐—ฝ๐˜๐—ผ๐—ฝ ๐—ธ๐˜‚๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฒ๐—บ๐—ฒ

View attachment 3240919
Tanzania tunaweza bhana โœ…

Kuna na mvumbuzi kutoka Tanzania anaitwa Gibson kawaga aliyebadili betri mbovu za laptop zilizotupwa kuwa nishati endelevu katika Kijiji kimoja kilichopo mkoa wa iringa Nchini Tanzania.

View attachment 3240921

Historia ya Gibson kuwa mvumbuzi ilianzia kwenye familia yake walikua na changamoto ya kukosa umeme kwa kuishi Kila siku bila umeme, ndiyo maisha halisi kwa zaidi ya nusu wakazi wa Kijiji chao.

View attachment 3240920

Familia nyingi kwenye mkoa wa iringa bado zinategemea taa za mafuta ya taa pamoja koroboi ambazo hazifai na zinaharibu afya na mazingira.

Kutokana na changamoto hii Mtaalamu Gibson kawaga akaamua kutatua changamoto ya Kijiji chao kwa kuvumbua umeme ambao unatumia betri za laptop Zilizotupwa na kutoa mwanga pamoja na matumizi mengine nyumbani na maofisini nchini kote Tanzania.

View attachment 3240922

Sasa wakazi wengi wa iringa kwenye Kijiji chao wanapata umeme kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaisha na biashara baada ya kawaga kuwatoa kwenye matumizi ya Mafuta na kuanzia kutumia nishati ya Umeme.

Kupitia hali hii kampuni ya WAGA ikaanzishwa, Gibson amebadilisha e-waste kuwa chanzo cha nishati nafuu na endelevu, na kusaidia kukabiliana na tatizo la nishati nchini Tanzania na kutoa mustakabali mzuri na wa kijani kwa watu wake.

Source: #bongotech255
#teknolojia #tanzania #teknolojianiyetusote


View attachment 3240923
Ujinga mtupu wa udsm ๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ
 
Kuna viongozi wenye roho mbaya watakuja kusema, hajatimiza vigezo hivyo inahitaji kufungwa kampuni yake.
Hapana. Usiwe na inferiority complex ya aina hii kwani chema chajiuza na kibaya chajitembeza. Duniani kote ubunifu kama unakidhi vigezo, muhimu na unakubalika, viongozi hawawezi kuzuia. Tatizo ni kuwa ''wabunifu'' wengi wanaojitokeza Tanzania siyo wabunifu kwa maana yake bali ni watu waliounda vitu ambavyo vilishaundwa na teknolojia yake imepishapiga hatua kubwa.
 
Back
Top Bottom