Rorscharch
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 878
- 2,014
Changamoto kubwa inakuja hapaHapana. Usiwe na inferiority complex ya aina hii kwani chema chajiuza na kibaya chajitembeza. Duniani kote ubunifu kama unakidhi vigezo, muhimu na unakubalika, viongozi hawawezi kuzuia. Tatizo ni kuwa ''wabunifu'' wengi wanaojitokeza Tanzania siyo wabunifu kwa maana yake bali ni watu waliounda vitu ambavyo vilishaundwa na teknolojia yake imepishapiga hatua kubwa.
Umesema na langu mkuu!Wewe sindiyo unawapaka rangi za kucha na kuwasafisha kucha hao kina mwijaku na juma lokole ...wanaume wa kirangi mna akili za dada zenu๐๐
Kumkatikia mamako?We umefanya nini au ndy kukatika mauno
Ova
Mmepuyanga puyanga tu. Hakuna maelezo ya kutosheleza. Battery za laptop tayari zenyewe zina umeme. So yeye amegundua nini hapo?๐๐๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐บ๐๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐น๐ถ๐๐ฒ๐ฏ๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ ๐ฏ๐ฒ๐๐ฟ๐ถ ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐ฝ๐๐ผ๐ฝ ๐ธ๐๐๐ฎ ๐๐บ๐ฒ๐บ๐ฒ
View attachment 3240919
Tanzania tunaweza bhana โ
Kuna na mvumbuzi kutoka Tanzania anaitwa Gibson kawaga aliyebadili betri mbovu za laptop zilizotupwa kuwa nishati endelevu katika Kijiji kimoja kilichopo mkoa wa iringa Nchini Tanzania.
View attachment 3240921
Historia ya Gibson kuwa mvumbuzi ilianzia kwenye familia yake walikua na changamoto ya kukosa umeme kwa kuishi Kila siku bila umeme, ndiyo maisha halisi kwa zaidi ya nusu wakazi wa Kijiji chao.
View attachment 3240920
Familia nyingi kwenye mkoa wa iringa bado zinategemea taa za mafuta ya taa pamoja koroboi ambazo hazifai na zinaharibu afya na mazingira.
Kutokana na changamoto hii Mtaalamu Gibson kawaga akaamua kutatua changamoto ya Kijiji chao kwa kuvumbua umeme ambao unatumia betri za laptop Zilizotupwa na kutoa mwanga pamoja na matumizi mengine nyumbani na maofisini nchini kote Tanzania.
View attachment 3240922
Sasa wakazi wengi wa iringa kwenye Kijiji chao wanapata umeme kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kimaisha na biashara baada ya kawaga kuwatoa kwenye matumizi ya Mafuta na kuanzia kutumia nishati ya Umeme.
Kupitia hali hii kampuni ya WAGA ikaanzishwa, Gibson amebadilisha e-waste kuwa chanzo cha nishati nafuu na endelevu, na kusaidia kukabiliana na tatizo la nishati nchini Tanzania na kutoa mustakabali mzuri na wa kijani kwa watu wake.
Source: #bongotech255
#teknolojia #tanzania #teknolojianiyetusote
View attachment 3240923
Hivi haya mambo ya uvumbuzi huwa yanaishia wapi,mbona hatukutani nayo kwenye maisha yetu ya kawaida ilihali kila Mtu anajua uhitaji wa umeme?Haya mambo yana uhalisia kiasi gani?Mbona ni kama miujiza ya kina Mwamposa kutibu saratani na wakati huohuo Ocean Road inaelemewa na Wagonjwa?.Nadhani kuna jambo haliko sawa mahali.Yupo mbongo yeye anatumia sumaku kuzalisha umeme unatumia nyumbani hauzimiki mwka mzima na unatumia vifaa vyako vyote na hauna kelele Wala services yeyeto.
Yupo Dar
Hivi haya mambo ya uvumbuzi huwa yanaishia wapi,mbona hatukutani nayo kwenye maisha yetu ya kawaida ilihali kila Mtu anajua uhitaji wa umeme?Haya mambo yana uhalisia kiasi gani?Mbona ni kama miujiza ya kina Mwamposa kutibu saratani na wakati huohuo Ocean Road inaelemewa na Wagonjwa?.Nadhani kuna jambo haliko sawa mahali.Yupo mbongo yeye anatumia sumaku kuzalisha umeme unatumia nyumbani hauzimiki mwka mzima na unatumia vifaa vyako vyote na hauna kelele Wala services yeyeto.
Yupo Dar
Kama hujui kuwa viongozi wa kitanzania ni waharibifu basi huijui nchi YAKO.Hapana. Usiwe na inferiority complex ya aina hii kwani chema chajiuza na kibaya chajitembeza. Duniani kote ubunifu kama unakidhi vigezo, muhimu na unakubalika, viongozi hawawezi kuzuia. Tatizo ni kuwa ''wabunifu'' wengi wanaojitokeza Tanzania siyo wabunifu kwa maana yake bali ni watu waliounda vitu ambavyo vilishaundwa na teknolojia yake imepishapiga hatua kubwa.
DyuuuuhYupo mbongo yeye anatumia sumaku kuzalisha umeme unatumia nyumbani hauzimiki mwka mzima na unatumia vifaa vyako vyote na hauna kelele Wala services yeyeto.
Yupo Dar
Shida ya wagunduzi wa kibongo Wana ubongo tegemezi soko lipo la gunduzi zao wanataka wabebwe na serikali.Hivi haya mambo ya uvumbuzi huwa yanaishia wapi,mbona hatukutani nayo kwenye maisha yetu ya kawaida ilihali kila Mtu anajua uhitaji wa umeme?Haya mambo yana uhalisia kiasi gani?Mbona ni kama miujiza ya kina Mwamposa kutibu saratani na wakati huohuo Ocean Road inaelemewa na Wagonjwa?.Nadhani kuna jambo haliko sawa mahali.
Najua ni wabaya sana na incompetent kushinda maelezo. Lakini kwenye suala ugunduzi wa teknolojia zama hizi huhitaji msaada wa kiongozi. Hebu nipe mfano wa mtu yeyote aliyegundua kitu na viongozi wakamkwamisha.Kama hujui kuwa viongozi wa kitanzania ni waharibifu basi huijui nchi YAKO.
Mimi mwenyewe ila sitakufafanulia hapa,na uongozi unaonizuia ni kusogea kwa wale wa juu na wale wa juu wapo wazuri na wabaya pia.Jua Mimi ni mmoja wao.Najua ni wabaya sana na incompetent kushinda maelezo. Lakini kwenye suala ugunduzi wa teknolojia zama hizi huhitaji msaada wa kiongozi. Hebu nipe mfano wa mtu yeyote aliyegundua kitu na viongozi wakamkwamisha.