Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Kwahio watu wote wenye degree wanapata chini ya 750k/month?
 
Eti na maji ya masafi haaaahaaaahaaaaa tz vilaza never end
 
Maisha yana hitaji akili zaidi ya akili za kukariri maandishi kadha wa kadha toka kwenye vitabu. Anyway, ukiona pia hio kazi amnayofanya huyo NGOSHA ni bora basi nawe nenda huko ukaifanye kibunifu zaidi.
 
kwahiyo watu waache shule wakabebe maji au ? hata kama angekuwa anapata 2mln bado ni mateso ya hali ya juu.
 
vipi akiumwa au kupata dharula wateja wanampa advance ili akipona awapelekee huduma?elimu ni elimu tu haifananishwa na pesa hata siku moja!unaweza kuwa bilionea mjinga na unaweza kuwa msomi fukara lkn baadae ukapata pesa!je mjinga wa miaka arobaini huko atapata elimu ya secondary lini na lini atakuwa graduate acheni masihara na elimu nyie!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya maguvu sana-quite labour intensive! Maisha ya shida sana, ndio maana ziligunduliwa mashine kupunguza mwanadamu kuumia na kazi ngumu. Sitaki hiyo kazi. Kwanza haina hadhi !
 
Mchanganuo wako ni mzuri,ila ngosha anapambana na hali yake naona hilo ndilo la msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanajificha kwenye kuuza maji kumbe wana biashara nyingine haramu kama sio biashara basi ni chuma ulete uyo.....
 
.... kulia kama Nyau..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nafikiri lengo la mleta mada sio kulinganisha pato la huyu na degree, hapana lengo lake ni kwamba vijana waliomaliza degree wawe tayari kupambana na maisha wakitumia uwezo wao wote ikiwemo shule yao wasiwekeza zaidi katika kusubiri ajiri yaani wazisuburi huku wanaweza kutengeneza mawazo yao mazuri yaliyoenda shule wakaweza kufikia malengo wanayotaka. mfano kama huyu anaweza kuuza dumu hamsini za maji kwa siku kwa shillingi mia tano kwa dumu wao waweze kuuza dumu miatatu kwa siku kwa shillingi 300 kwa kuwauzia jumla hao wakina ngosha nao wauze mia tano. badala ya kutumia mkokoteni yeye akodi pick up akianagalia gharama za usafiri ukilinganisha na yeye kukaa bure home. ikiwa usafiri 20,000 anaweza kupata 70,000 toa gharama za maji 5000 anabaki 65,000 kwa muda wa masaa machache sana akiwa hajaumia.
 
Inaonekana kweli kipato chako ni duni,kuhama toka Sinza kwenda kuishi Makanya maana yake ni kwamba uchumi wako umeyumba. Pole sana mkuu..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni upuuzi umalze degree alaf uanze kuuza maji! Hiyo ni laana na matumizi mabaya ya taaluma.
 
Sasa mimi sizungumzii upande wa daybreak huko
nimekupa uchambuzi wa maeneo yote ili ujue kwamb kipnd maji yakizngua ndo inakuwa dili xan.
mf hicho kitaa cha makanya maji yapo kwa idd azan hapo,kwa alex massawe pemben,msikitini,makanya bonden nk

*ikitokea maji yakizngua ndo inakuwa dili!
 
nimekupa uchambuzi wa maeneo yote ili ujue kwamb kipnd maji yakizngua ndo inakuwa dili xan.
mf hicho kitaa cha makanya maji yapo kwa idd azan hapo,kwa alex massawe pemben,msikitini,makanya bonden nk

*ikitokea maji yakizngua ndo inakuwa dili!
Mkuu, kama wewe unafuata maji kwa Idd Azan, siyo wote wana muda huo.. Jamaa anauza maji kuwe/kusiwe na shida ya maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…