Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada


Hahahahaaaaa
Kulia kama nyau tena.
 
Kuna mama muuza mandazi mmoja yeye anaingiza zaidi ya 50,000/= per day as net profit.
Kwa siku anapika mandazi 200, chapati 200, na donat 200

Kila andazi 1 anapata 50 as profit ( 50*200 = 10,000 )
Kila chapati 1 anapata 150 as profit ( 150 * 200 = 30,000)
Kila donalt 1 anapata 150 as profit ( 150 * 200 = 30,000)

Jumla kuu > 70,000 ingawa inaweza kuwa chini ya hapo.
Chukua ni 50,000/= ( 50,000 * 30 = 1,500,000/=)
Muda wa kazi ni 12: 30 asubuhi hadi 5:30 asubuhi.
Saa 12:00 jioni hadi 5 :00 usiku.

Soko lake : Kakwaa tenda zote za kwenye mashule ya msingi na sekondari
: Vyuo karibu vitatu amazambaza huduma yake
: Watu wa mtaani kwake karibu wote wanamtegemea yeye.


Ushauri :

-- Usidharau kazi ya mtu,
-- Elimu sio pesa ila ikusaidie kuitafuta pesa.
-- Elimu sio lazima ukalishe matako darasani.
-- Maskini wakubwa dunia hii ni wasio na kazi wakifuatiwa na waajiriwa wakimalizia waajiri.

Kama hukubaliani na mimi kunya gunzi.
 
Wewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
OhahahahaOhahahahaaa umejua kujitetea
 

Mbona umefanya hesabu rahisi hayo maji anayapata bure? Hapo anapouza hapalipii? Ghalama za matengenezo ya mkokoteni kwa mwezi sh ngapi?
Punguza tamaa kila kitu kinachangamoto zake
 
Pia ujatuambia siku akiumwa hesabu hiyo inafika vp au akiwa na dharula inayomfanya asiuze maji siku hiyo na pia utuambie kipindi cha mvua zinaponyesha uwa anauza maji kwa watu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyuo,shule,mtaani hajaajiri watu wa kusambaza ? Kama ameajiri anawalipa sh ngapi ? kama anasambaza mwenyewe anapika sa ngapi na anasambaza sa ngapi , kwa usafiri gani, bure au anaulipia ? anapika peke ake ? Kama ana msaidizi anamlipa sh ngapi ?
Acheni biashara za makaratasi, ingekua hivyo wauza maandazi wote wangekua matajiri, kweli maandazi yana faida ila tusipaishe namna hiyo

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Msomi ktk ubora wako naona umeshakokotoa working hours hapo. I love us
Wewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
 


Kabla ya kuandika chochote soma kwa makini.
Unajua maana ya "net profit"? Au hujapita shule?
Mambo ya uchumi uliwahi kuyasomasoma labda.?
 
Hela si kila kitu kumbukeni......

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Hela si kila kitu kumbukeni......

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app

Hhaaha, usitake kuchekesha jukwaa weye.
Kabla ya kusema pesa sio kila kitu hakikisha unakua nazo za kutosha.
 

Hhaaha, usitake kuchekesha jukwaa weye.
Kabla ya kusema pesa sio kila kitu hakikisha unakua nazo za kutosha.
Sawa nimekuelewa,akili yako niile ya kufanya kazi ya kuzibua vyoo kwa mwaka 1 kwa mshahara wa 1,000,000 kwa mwezi na kuacha kazi ya ofisini ya 500,000 .
Mmetekwa mawazo,akili yenu yote inaona PESA ndio the end wakati ni means to an end.

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 

Acha nizibue choo wanilipe 1,000,000/= kwa mwezi.
Baada ya mwaka nikuajiri kama technician, nikuingize ofisin nikupe kiyoyozi, chai, na usafiri.
Nikunyonye ubaki na nguo tu, Mwisho wa siku ndo akili inakufunguka unastaafu una nyumba tu ya kuishi, kifuatacho :
Kufa na pressure.
 


Hujuoni ulivyoongea mapumba na mashudu, huko ofisini unajiona umefika kiasi cha kumdharau mzibua choo anayeingiza faida badala ya mshahara? Unataka kutuambia uko tayari kulipwa mshahara nusu kisa tu kuna viyoyozi na chai?
Think again bro.
 

Kabla ya kuandika chochote soma kwa makini.
Unajua maana ya "net profit"? Au hujapita shule?
Mambo ya uchumi uliwahi kuyasomasoma labda.?
Watu wengi wanatoa mapovu kwenye uzi huu kwa kutoelewa maana ya hiyo net profit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…