acha kujitetea hamna sehemu umeongelea net profit, acheni kuketa story za kufurahisha genge hapa hizo hesabu ulizoweka hapo HAZIWEZEKANI acheni kujidanganya hela sio rahisi kiasi hicho, ndio maana mawaziri wanahubiri kujiajiri wakati mda wa kampeni wanashupaza mishipa wachaguliwe wapate ajira.
Kabla ya kuandika chochote soma kwa makini.
Unajua maana ya "net profit"? Au hujapita shule?
Mambo ya uchumi uliwahi kuyasomasoma labda.?
N swali je fulsa ya kimaisha ni kuuza maji tu?ina maana nguvu kazi yote ifanye kazi ya kuuza maji?Hoja hapa je kuuza maji ni fulsa endelevu ya kiuchumi?mimi nadhani angetoa ushauri wa kuchangamkia kufanya kazi za kiuchumi zenye fulsa endelevuNon Sense...... Ina maana huwezi kuongelea mafanikio ya huyo mtu bila kumlinganisha na mtu mwenye degree? We sasa hiyo laki saba hamsini umeona mali sana..
Halafu mtoa mada, ingekuwa jambo la heri kutafakari maisha yako... Ukitumia muda wako kutafakari ya wenzako utakosa muda wa kufanya yako...
acha kujitetea hamna sehemu umeongelea net profit, acheni kuketa story za kufurahisha genge hapa hizo hesabu ulizoweka hapo HAZIWEZEKANI acheni kujidanganya hela sio rahisi kiasi hicho, ndio maana mawaziri wanahubiri kujiajiri wakati mda wa kampeni wanashupaza mishipa wachaguliwe wapate ajira.
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Hahaha hiyo chai ya hivyo viungo ningependa kujua faida zake. Maana umelazimika kutaja na viungo vyakeSalaam wakuu,
Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia Magomeni Makanya.
Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa Kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. dumu moja anauza shilingi 500.
Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta Makanya kuyauza.
Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni. Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakuwa amemaliza maji na anakwenda kupumzika.
Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakuwa ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakuwa ni pesa nyingi zaidi ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.
Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000. Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi. Hiyo ni take home.
Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.
Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.
Kwa sasa amenunua kiwanja huko Mbezi na anajenga nyumba yenye rumu nne.
Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaidi ya anachoingiza.
kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.
Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha.
Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
Wenye degree katika ubora wenuNon Sense...... Ina maana huwezi kuongelea mafanikio ya huyo mtu bila kumlinganisha na mtu mwenye degree? We sasa hiyo laki saba hamsini umeona mali sana..
Halafu mtoa mada, ingekuwa jambo la heri kutafakari maisha yako... Ukitumia muda wako kutafakari ya wenzako utakosa muda wa kufanya yako...
Kifo kwako sio kwake yeye.Wewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
Hahahaha ndo unadangwanywa na Bima za kutibiwa mwisho Muhimbili? wewe una jua vipi kama hana Bima? shida nyie huwa mna under rate sana watu kwa kuangalia aina ya shughuli yake na uvaaji wakeKumbuka mimi Nina bima ya afya, napata mkopo, na pensheni juu. Pamoja na hayo sijakubishia mkuu acha kila mtu apambane na hali yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo unavyo jidanganya? unajua ni kwa nini watu wa kistafu ndo wanakumbuka kuna kitu kinaitwa kujiajiri?Degree haizeeki,nguvu huisha
Hahahaa umejuaje? ukitaka ukosane na mtu mwambie ukweli. wengi humu wanakula laki 3 sasa wakisikia jamaa anapiga laki 7 wanaona ni matusiVijana hamtaki kuambiwa ukweli
Na wewe mshahara wako wa laki 3 usha upigia mahesabu? au huwa unabakia vile vile?Hayo maji anaenda kuchota bure.? Maana sijaona ukitoa hizo gharama.
Je siku akiumwa.? Umetoa hesabu hizo.?
Siku mvua ikinyesha, watu wanakinga maji ya kwenye mabati.
[emoji23] [emoji23] siku zote mtu akiishiwa hoja anakimbilia matusi, amani bro ujasiriamali unalipa hata mi nna mpango wa kuingia huko ila tusipeane matumaini makubwa sana
Pumbaaavu, kaangalie ulivyoni quote, unanipotezea muda wangu shenztype.
Sawa mkuu, uza Maji
Marupu rupu ndo nini? hata ungepata marupurupu vipi huwezi toka na hakuna alie weza kutokankwa marupurupu bali kwa mtu kutumia muda wake mwenyewe. Wako wapi waheshimiwa wa zani walio kuwa ma marupu rupu yasio hesabika?mkuu kwa mimi sijaona cha ajabu hapo, wengi mshahara ni mdg ila malupulupu ya maana
wakati unaleta bandiko umefikiria mambo kama wakiumwa, wakipata dharura nani yuko kwenye nafasi ya kuendelea kuingiza pesa.
yaani wewe huna tofauti na mkuu wa mkoa wa zamani wa morogoro "lutengwe" akiwa katavi aliwahamasisha watu kulima kilimo cha maembe alipo fukuzwa ni kulia kama nyau