Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Kuna jamaa wana shahada zao wanapata mara kumi ya hizo,na kuna wanaouza maji wanashindwa kuingiza hata theluthi ya kipato chake, maisha hayana formula.
 
Hahaha! Una degree nini? Sometimes tunajifunza kupitia wengine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume ww una moyo mgumu! Hv unaanzaje kumvulia nguo mtu usiyemfahamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu, uza Maji
Ndio naweza kuuza sana kwani wewe hutumii maji? ujinga ni pale ambapo mtu anapondea mfano Biashara ya mkaa na yeye ni.mtumia mkaa, maajabi ya Bongo.

Jamaa nampongeza sana make anauza moja ya vitu mihimu sana kwa mahitaji ya binadamu. ukiungua hutatundukiwa Smartphone bali utawekewa maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeh [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujuoni ulivyoongea mapumba na mashudu, huko ofisini unajiona umefika kiasi cha kumdharau mzibua choo anayeingiza faida badala ya mshahara? Unataka kutuambia uko tayari kulipwa mshahara nusu kisa tu kuna viyoyozi na chai?
Think again bro.
Fanya kazi ya profession yako unayoipenda,ridhisha kwanza roho yako,roho hairidhiki kwa kupata fedha nyingi tu mpaka maisha yako yakawa yakuongozwa na uhitaji wa pesa kupindukia.number chasing douches
 
Shubamit!! Mkokoteni mmoja madumu 50?? Huo ni mkokoteni au mkokotwenty??
Alafu kumlinganisha na mtu mwenyewe degree ndy umeona umefanya mlinganisho sahihi kabisa au ww kwa uelewa wako unadhani mtu wa degree ndy anajua kila kitu na anatakiwa kulinganishwa na mtu yoyote???
Acha uboya!! Alafu mwanaume mzima unakaa unajumlisha mapato ya mwanaume mwenzio huo ni ujinga na ww pambana ufikie malengo yako sio kukaa na kumlishia wenzio tu.
Pambana na hali yako kama anaingiza pesa zaidi yako na ww jifunze kutumia fursa acha story za kwenye kahawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo hesabu ni ya uongo. Huyo muuza maji anapata maji bure . hamna ukweli wowote juu ya hilo
 
Hii story inafanana Kama imesimliwa na mlengwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara nyingi wanatumia ndondocha...jiangalie inawezekana mtaa mzima mnakandishwa maandazi usiku
 
Hiyo ela sio take home,since anakula na kunywa then unatangaza kupata 750,000? Kwani haumwi?? Sio tu yeye Bali familia yake?
 
Hiyo ela sio take home,since anakula na kunywa then unatangaza kupata 750,000? Kwani haumwi?? Sio tu yeye Bali familia yake?
Pamoja na yote, hiyo ndo hela anayoingiza kwa wiki... Hela kubwa zaid ya wana degree wengi wanaolipwa had laki 3..kwan hao degree nao hawali?
 
Pamoja na yote, hiyo ndo hela anayoingiza kwa wiki... Hela kubwa zaid ya wana degree wengi wanaolipwa had laki 3..kwan hao degree nao hawali?
Punguza munkari let's go slowly like the fkng night.
1. Hao unaodai wanalipwa laki 3 wanafanya Kazi saa ngapi - saa ngapi?
Per day anapata elfu 25,let me ask you...mkokoteni ukiharibika anautengeneza kwa gharama zipi?
Toa gharama za kujaza hayo madumu,plus kujaza upepo. Plus yeye Kazi yake ni very tough than them.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…