Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Kutana na muuza maji ya madumu anayetengeneza pesa nyingi kwa mwezi zaidi ya mtu mwenye shahada

Hizo hesabu zako hazijazingatia mambo yafuatayo:
1.Yeye ananunua ndoo moja shilingi ngapi huko anakoenda kuchota?
Tuchukulie ananunua ndoo moja 200.
Ukichukua 200*50=10,000 kwa siku, 300,000 kwa mwezi. Kwahiyo toa 300,000 kutoka kwenye ile 750,000. Inabaki 450,000

2. Bili ya msosi na bia uliyoweka ni sawa na 9,000 kwa siku. Kwa mwezi ni 270,000. Ukitoa inabaki 180,000

3.Vyumba alivyopanga vitatu, kodi tuchukulie 60,000 kwa mwezi. Ukitoa inabaki 120,000

4.Nauli ya mtoto kwenda shule na hela ya kula, tuweke 1,000 kwa siku, 30,000 kwa mwezi. Hapo inabaki 90,000

5.Vocha, weka 500 kwa siku. 15,000 kwa mwezi. Inabaki 75,000

6.Mkaa, Mafuta taa, Gesi weka 2,000 kwa siku, 60,000 kwa mwezi. Inabaki 15,000

7. Matengenezo ya dumu likitoboka au baiskeli ikiharibika weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 10,000

8.Weka ya saloon yeye na wife 5000 kwa mwezi. Inabaki 5000

9.Nauli nauli za bodaboda na daladala, weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 0.

10. Huyo jamaa kakuona wewe mbumbumbu akakujaza ujinga na wewe ukaubeba bila kuhoji, hana kiwanja mbezi wala mfano wake
 
Is there any job security kwake , vipi akiugua ? Changamoto za tabia nchi? Nk
 
UCHAMBUZI WA KIMAZABE KAMA HUU HUFANYWA NA WATU WALIOKIMBIA UMANDE.

YANI UNACOMPARE DEGREE NA NGUVU ZA KUBEBA MADUMU YA MAJI?

HALAFU KUMBE NI 750,000 KWA MWEZI

NA ANAVYOLALA ANAOMBEA SHIDA YA MAJI ISITATULIWE.

ANAAMKA SAA 10 ALFAJIRI NA ANAFANYA KAZ HADI SAA 5 USIKU (HATARI)...
 
Ina maana hii biashara haina gharama za uendeshaji? Hayo maji anayapata bure? Mkokoteni hauna matengenezo? Hii story ni kutoka kwenye vijiwe vya gahawa
 
Salaam wakuu,

Siku chache tu zilizopita, nilihamisha makazi yangu kutoka Sinza na kuhamia magomeni makanya.

Hapa pana shida ya maji sana. Sasa kuna kijana mmoja wa kisukuma almaharufu kwa jina la Ngosha, anauza maji ya madumu kwa ajili ya matumizi. Dumu moja anauza Shilingi 500.

Ana jumla ya madumu 50. Huamka asubuhi na mapema sana majira ya saa kumi. Huyafuata maji na mkokoteni wake hadi majira ya saa moja, anakua amejaza madumu yote 50 na kuyaleta makanya kuyauza.

Ikifika mida ya saa nane mchana, hua anakua ameuza madumu karibu 40, hivyo anafuata madumu mengine kama 20 hivi kwa ajili ya kuuza jioni.


Anauza maji hadi saa tano usiku. Kuna wakati ikifika mida ya saa tatu usiku, anakua amemaliza maji na anakwenda kupumzika.

Nilimuuliza siku biashara ikiwa mbaya, anakua ameuza madumu mangapi, akaniambia 50. Sasa tuchukue hii minimum tuifanye ndo kwa kila siku, kwa mwezi inakua nipesa nyingi zaid ya hata mtu anayelipwa mshahara wa degree.

Chukua 50x500= 25,000. Alafu chukua 25000x30=750,000.

Kwahiyo huyo kijana anapata shilingi laki saba na nusu kwa mwezi ambayo hata hatozwi kodi.. Hiyo ni take home.

Huyu kijana maisha yake ni mazuri, ana mke na watoto wawili. Amekodi vyumba vitatu kwa ajili ya kuishi yeye na familia yake. Mtoto wake wa kwanza yupo darasa la kwanza.

Asubuhi anapata breakfast nzito ambayo ni chapati mbili, maharage bakuli moja, supu ya utumbo bakuli moja, soda moja ya pepsi na maji ya masafi lita moja. Hiyo ni asubuhi tu. Jioni lazima apate bia mbili pia.

Kwa sasa amenunua kiwanja huko mbezi na anajenga nyumba yenye Rumu nne.

Huyu kijana hata mimi mshahara wangu ni mdogo zaid ya anachoingiza.

Kweli kusoma siyo kupata pesa mingi na kufanikiwa.

Wakati huo huo mimi ninawaza hapa napata wapi hela ya kodi mwezi ujao landlord ameanza kukumbusha...


Ngoja nipate chai ya Tangawizi +asali +mdalasini.. Then narudi.
sema sio kila siku kuna changamot ya maji mitaa ya makanya,daybreak,kwa bonge nk
ngosha,kiziwi,ostadh,msambaa nk
bt uchambuzi wako ni mwanasesere
*hii ni fallacy
 
Sasa hivi wana hali ngumu.

Nimepita juzi pale sinza mori, nimekutana nayo pembeni ya Bigbon wakanivuta wanahitaji niwape hata buku tu.

Na mm ninavyojua ku bargain, nikamwambia nina jero, akasema poa, akaniingiza Kichumba chake, nikapata goli moja kwa jero nikaondoka zangu mwepesi
Ha ha ha ha nashukuru kwa taarifa, kesho na mimi nitapita apo
 
Non Sense...... Ina maana huwezi kuongelea mafanikio ya huyo mtu bila kumlinganisha na mtu mwenye degree? We sasa hiyo laki saba hamsini umeona mali sana..

Halafu mtoa mada, ingekuwa jambo la heri kutafakari maisha yako... Ukitumia muda wako kutafakari ya wenzako utakosa muda wa kufanya yako...

Mbona umejibu kwa hasira sana?
 
Wewe jamaa hiyo kazi kuanzia saa 10 alfajiri hadi saa 3 usiku si Ni kifo hicho??
Then unapata 750,000!!
Bora huyo mwenye degree anayepewa take home ya 500,000
Kumbuka huyu kuna muda anakua free mchana mwingi tu
 
Kwanza mazoezi mazuri tu, pili anawapa maji raia ambayo ni uhai, tatu anatunza familia yake na kufanya maendeleo..hongera zake, nawajuwa 4 au 5 mitaa ya Sinza Lion Hotel na Queen of Sheba, wako kama huyu..
Yeah mkuu. Unaeza dharau kaz ndogo kumbe ndo yenye hela
 
Hayo maji anaenda kuchota bure.? Maana sijaona ukitoa hizo gharama.

Je siku akiumwa.? Umetoa hesabu hizo.?

Siku mvua ikinyesha, watu wanakinga maji ya kwenye mabati.
Maji anachota bure pale magomeni usalama
 
Hizo hesabu zako hazijazingatia mambo yafuatayo:
1.Yeye ananunua ndoo moja shilingi ngapi huko anakoenda kuchota?
Tuchukulie ananunua ndoo moja 200.
Ukichukua 200*50=10,000 kwa siku, 300,000 kwa mwezi. Kwahiyo toa 300,000 kutoka kwenye ile 750,000. Inabaki 450,000

2. Bili ya msosi na bia uliyoweka ni sawa na 9,000 kwa siku. Kwa mwezi ni 270,000. Ukitoa inabaki 180,000

3.Vyumba alivyopanga vitatu, kodi tuchukulie 60,000 kwa mwezi. Ukitoa inabaki 120,000

4.Nauli ya mtoto kwenda shule na hela ya kula, tuweke 1,000 kwa siku, 30,000 kwa mwezi. Hapo inabaki 90,000

5.Vocha, weka 500 kwa siku. 15,000 kwa mwezi. Inabaki 75,000

6.Mkaa, Mafuta taa, Gesi weka 2,000 kwa siku, 60,000 kwa mwezi. Inabaki 15,000

7. Matengenezo ya dumu likitoboka au baiskeli ikiharibika weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 10,000

8.Weka ya saloon yeye na wife 5000 kwa mwezi. Inabaki 5000

9.Nauli nauli za bodaboda na daladala, weka 5000 kwa mwezi. Inabaki 0.

10. Huyo jamaa kakuona wewe mbumbumbu akakujaza ujinga na wewe ukaubeba bila kuhoji, hana kiwanja mbezi wala mfano wake
Kwamba mwenye degree haya matumizi hayafanyi?

Maji wanapewa bure magomeni usalama.

Wewe hujaelewa Nilichoandika.

Sijasema matumizi yake bali nimesema anachoingiza.

Mtoto wake anasoma turiani primary... Ipo karibu na home, anatembea kwa miguu.
 
Ina maana hii biashara haina gharama za uendeshaji? Hayo maji anayapata bure? Mkokoteni hauna matengenezo? Hii story ni kutoka kwenye vijiwe vya gahawa
Nimezungumzia anaingiza shilingi ngapi... Hayo mengine ni uyatolee uzi wako
 
UCHAMBUZI WA KIMAZABE KAMA HUU HUFANYWA NA WATU WALIOKIMBIA UMANDE.

YANI UNACOMPARE DEGREE NA NGUVU ZA KUBEBA MADUMU YA MAJI?

HALAFU KUMBE NI 750,000 KWA MWEZI

NA ANAVYOLALA ANAOMBEA SHIDA YA MAJI ISITATULIWE.

ANAAMKA SAA 10 ALFAJIRI NA ANAFANYA KAZ HADI SAA 5 USIKU (HATARI)...
Kuna wafanyakazi call center ya Vodacom wana degree na wanapokea take home ya 340,000 kwa mwezi. Huwezi linganisha na huyu.
 
Back
Top Bottom