Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kutana na Mwanamke Maarufu mwizi zaidi duniani Phoolan Devi,
Kutoka kwenye unyanyaswa kijisia, kuwa mwizi, kuingia jela na hadi kuwa mbunge kutetea wanawake nchini india.
Anakumbukwa kwa famous qoute inayosema.
"If there were justice in the world, I would have been a nobody"
Na hii ndio strory yake, shu
ka nayo
Phoolan Devi alizaliwa katika familia maskini huko Uttar Pradesh, India, na alikabiliwa na ubaguzi wa kijinsia na kijamii kutokana na hali yake ya umaskini na kabila lake.
Akiwa msichana mdogo, alipitia unyanyasaji mkubwa, ikiwa ni pamoja na ndoa ya mapema na dhuluma za kijinsia. Haya yote yalimsukuma kuasi na kujiunga na kundi la majambazi wa mitaani (bandits), akawa miongoni mwa majambazi wakuu wa India.
Kutoka kwenye unyanyaswa kijisia, kuwa mwizi, kuingia jela na hadi kuwa mbunge kutetea wanawake nchini india.
Anakumbukwa kwa famous qoute inayosema.
"If there were justice in the world, I would have been a nobody"
Na hii ndio strory yake, shu
Phoolan Devi alizaliwa katika familia maskini huko Uttar Pradesh, India, na alikabiliwa na ubaguzi wa kijinsia na kijamii kutokana na hali yake ya umaskini na kabila lake.
Akiwa msichana mdogo, alipitia unyanyasaji mkubwa, ikiwa ni pamoja na ndoa ya mapema na dhuluma za kijinsia. Haya yote yalimsukuma kuasi na kujiunga na kundi la majambazi wa mitaani (bandits), akawa miongoni mwa majambazi wakuu wa India.