Kutana na Selebu Mboni

Kutana na Selebu Mboni

IMG_2766.JPG


Hahahahah kwenye list ya Mseminary Amatus nadhani aliwekwa

I see!!
 
na alipokuja fali ipupa hakucheza mbali sana, kwenye ile shoo yake jamaa alikuwa anawashika hawa mademu kama malaya wa kununua street. uyu mboni noma lol, acha tu aitwe cerebrity.
Lakini ndo hivyo , ataishia kuvaaa Tshirt, E'too mweneyewe wala hata hamkumbuki. inauma sana.


Hapa akiwa amepozi na Fally Ipupa hivi karibuni mitaa ya kati jijini Dar
 

Sehemu ya kago la viatu vya kila aina na rangi toka italy. mboni anasema ukitaka maelezo ya kina mpigie tu kupitia namba +255 773 787 272
 

Mkongwe katika muziki wa dansi Zahir Ally Zorro akiwa amepozi na walimbwende kulia ni Mboni Masimba pamoja Joan
 
IMG_2766.JPG


Hahahahah kwenye list ya Mseminary Amatus nadhani aliwekwa

hahaaaa... hebu nenda kapate CHIVAs au black label moja, risiti mpe Geoff nirefund mzee... this is the photo of the day!!! mseminari anatoka utaona atakavyokuja kuchukua madeni yake sasa
 
Hahahaha Mseminary leo anarudi Uswazi wenye mademu bomba mtakiona cha moto lazima mmwagiwe upupu.

kheee mpwa ushaiperuzi hukumu ya mjomba kabla mahakama haijaisoma??

wewe selebu hatari
 
Jamani kuna kibutton cha thanks hebu fanyeni ze necessary !
 
DSC02836.JPG


Hapa akiuza nyago na mdau sijui celeb nani huyu?
Hii styre ya kuweka vidole viwili wabongo bado mnatumia kha!
 
DSC02836.JPG


Hapa akiuza nyago na mdau sijui celeb nani huyu?
Hii styre ya kuweka vidole viwili wabongo bado mnatumia kha!

hahahahaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!
ndio pozi za kisebu hizo Fide!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom