Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kmc game inaenda songea hiyo sahau kabisaHapo hakuna timu ya kutuzuia na mechi zote hizo zinachezewa katika viwanja vya dar
Ruvu shooting na KMC pale uhuru
Azam na Namungo ni pale Taifa
Aya sawa Mayor wa kinondonikmc game inaenda songea hiyo sahau kabisa
😁 asante kwa kunitabiria mazuri maana nilivyochoka kipesa niko hohehahe siku nikiupata huo umayor nitafanya ufisadi wa kihistoriaAya sawa Mayor wa kinondoni
Na kutoa ahadi, zawadi na motisha kwa timu zitakazoifunga Yanga😁 asante kwa kunitabiria mazuri maana nilivyochoka kipesa niko hohehahe siku nikiupata huo umayor nitafanya ufisadi wa kihistoria
Hongereni..yapi mkuu wakati mpaka sas simba inaongoza ligi
Na badi, tutawavunja zaidi...Hakuna cha karma wewe, ni ujinga kutoa kiasi ambacho average kila mchezaji atapata 500,000 na kuagiza WAKAWAVUNJEVUNJE WACHEZAJI WA SIMBA , hivi kumbe kuna njaa kiasi hiki wale wehu wangepewa milioni 5 kila mmoja nakuhakikishia wangeingia na visu
Usiku kucha wale vichaa wa dodoma jiji walikuwa wanasimangwa baada ya kushindwa kuvunja miguu na pua ipaswavyo..Its a pity kwa kweli nimewaonea huruma sana SASA HELA INARUDI DSM AU ITATUMIKA KUWAGILIA ULE UWANJA ULIOPAUKA KAMA NGOZI YA LILE JAMAAAAAA?
Maoni yako juu ya pesa za bashite na halizotoa happi hatuzikatai japo kiukweli zote zimetolewa kwa malengo yanayofanana,wenye upeo wa mambo hawahitaji maelezo kuhusu hilo...waswahili wanasema raha ya kuimba mpokezane,kwa timu ile mtaandika malalamiko mengi sana msimu huu humu jf.
Mbona hata ndugu zenu wa Coastal Union walikua wanaikamia Yanga pekee! Huo ndiyo mpira. Kama mna kikosi kizuri, kukamiwa kitu gani bhana!!Wapuuz wanaikamia simba afu wanapigwa na Ruvu
Kwahy Biashara utd ni ndugu wa Yanga!?Mbona hata ndugu zenu wa Coastal Union walikua wanaikamia Yanga pekee! Huo ndiyo mpira. Kama mna kikosi kizuri, kukamiwa kitu gani bhana!!
Ni ndugu wa MikiaKwahy Biashara utd ni ndugu wa Yanga!?
Ndo mpango wenu kukodi vibaka kuwajeruh wachezaj wa simbaNi ndugu wa Mikia
Hawa walezi Ni chambo tu, hela Ni za GSM. Utopolo wamepanga eti simba apate droo 3 na kupoteza mechi 3 ili wao waweze kuwa mabingwa.Mlezi mmoja team yake ili struggle kupata nauli ya kwenda Djibout na wachezaji watano hawakuwa na passport wakafika Djibout siku ya mechi wakashinda wakarudi dar wakashinda leo wako round ya kwanza ya kombe la afrika shirikisho, mlezi hakutoa hata senti moja kuwasaidia usafiri wala kusaidia hata upatikanaji wa passport, hata pongezi ya mdomo au hata kuwapa elf kumi kumi kwa hatua hiyo kubwa ambayo hata UTOPWINYO imewashinda kabisa
Mlezi akaibukia siku ya mechi ya simba na box lenye burungutu la hela kwamba wakishinda kuna milioni 15 wakitoa sare kuna milioni kumi, walipata hiyo kumi ingawa jana wamepapaswa kimoja hapohapo nyumbani labda kwa vile mlezi hakuhangaika na hiyo mechi
Mlezi mwingine naye ni vilevile ,milioni 15 kwa kumi ila huyu katia fora kwa kweli maana ni kama vile kulikuwa na maagizo pembeni na hela zaida za dodoma jiji kucheza kung-fu ,macho ya wadau yamefunguka kwamba kuanzia sasa kila mechi lazima wachezaji wa simba waumizwe au kufanywa vilema kabisa kisa "pesa za walezi"
Hawa wacheza kung fu waliikosa hiyo hela AMBAYO BINAFSI NASHAURI IELEKEZWE KUMWAGILIA ULE UWANJA ULIOKONDEANA NA KUPAUKA UTADHANI NGOZI YA LILE LI JAMAA ROPOKAJI
*NAONA WATU WANA COMPARE NA HELA ALIYOTOA BASHITE KWA KMC KUIFUNGA YANGA>>>>>>Kmc hawajawahi kuwa na shida ya usafiri kombe la shirikisho, kmc kamwe hawakuwa na maagizo ya kwenda kuvunja viungo vya wachezaji wa utopolo kwa makusudi
Kinachotokea mwaka huu ni uhuni na umafia , imbeciles are so desperate
View attachment 1959934View attachment 1959935
Peleka TAKUKURU mkuuHawa walezi Ni chambo tu, hela Ni za GSM. Utopolo wamepanga eti simba apate droo 3 na kupoteza mechi 3 ili wao waweze kuwa mabingwa.
Usitumie kosa kuhalalisha ujinga naakonda hakuongea kabla alitoa baadae na pia KMC inamilikiwa na serikali. UpoNyani haoni kundule,
Kipindi kile cha Makonda zile milioni 20 zilizowekwa kwa ajili ya kumfunga Yanga hazikujadiliwa kabisa ila now kibao kinabadilika na kelele zimekuwa nyingi