Kutanana Warembo Wenye Asili ya Afrika Wanaotesa Kwa Urembo Duniani

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Mmoja wa hao warembo ni huyu hapa chini anayeitwa Damaris Lewis kutoka Brooklyn New York. Ni mwanamitindo anayesifika sana.

Halafu kuna huyu anayeitwa Arleni Sosa Pena kutoka jamhuri ya Dominica


Mwone na Adaora Akubillo kutoka Nigeria. Ni mwanamitindo huyu


Wamwonaje huyu kutoka Senegal? Anaitwa VeroniqueBoubane na pia mwanamitindo mahiri

Huyu naye ni Tomiko Fraser Hines kutoka New York.Ni mshauri wa vipodozi
 

Huyu ni Rissikat Bade mzaliwa wa DRC anayeishi Uingereza.Zinachaji sana na uwezo wa kuzungumza lugha 4 za kimataifa kwa ufasaha.Anazungumza Kiingereza, kifaransa, Kirusi, na Kiukraine.

Huyu ni Chavoy Gordon,Miss Jamaica 2011.Anasomea udaktari.




Huyu ni Geidy Mena Cuesta kutoka Colombia.Ni mwanamitindo maarufu sana.




Leila Lopes kutoka Angola.Alikuwa Miss Angola 2010 na Miss Universe 2011.


Kiara Kabukuru kutoka Uganda.Ni mwanamitindo Nguli wa kimataifa.
 
Tuwekee na ya Wema basii....
utafiti, pole sana. Mrembo Wema hatambuliwi kimataifa kwa sababu hakupenda kujiendeleza na fani ya urembo.Alipenda zaidi ubaby baby na Diamond.
 
Last edited by a moderator:
Kila kukicha utasikia warembo mara wanamitindo mara sijui hiki yaani hakuna hata laamana ni mauza mauza na kizai zai na mizengegwe tuuuu ilo jaaa
 
I will never call a famous woman "celebrity", they are simply expensive hookers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…