Kutanana Warembo Wenye Asili ya Afrika Wanaotesa Kwa Urembo Duniani

Kutanana Warembo Wenye Asili ya Afrika Wanaotesa Kwa Urembo Duniani

Tatizo urembo wa wema ni FEKI....kila kimoja kimekuwa Edited




utafiti, pole sana. Mrembo Wema hatambuliwi kimataifa kwa sababu hakupenda kujiendeleza na fani ya urembo.Alipenda zaidi ubaby baby na Diamond.
 
Mmoja wa hao warembo ni huyu hapa chini anayeitwa Damaris Lewis kutoka Brooklyn New York. Ni mwanamitindo anayesifika sana.
View attachment 194877
Halafu kuna huyu anayeitwa Arleni Sosa Pena kutoka jamhuri ya DominicaView attachment 194878


Mwone na Adaora Akubillo kutoka Nigeria. Ni mwanamitindo huyuView attachment 194879


Wamwonaje huyu kutoka Senegal? Anaitwa VeroniqueBoubane na pia mwanamitindo mahiriView attachment 194880

Huyu naye ni Tomiko Fraser Hines kutoka New York.Ni mshauri wa vipodoziView attachment 194881

Labda mmoja tu anaweza kunishawishi binafsi.

Karibia wote hawana mwelekeo wa u-sangwine, wengi ni kama vile choleric. Ni vigumu kuishi na wanawake wa type hii!
 
download (6).jpgimages (10).jpg
 
Back
Top Bottom