Uchaguzi 2020 Kutangaza maandamano pekee hakutoshi, kunahitaji maandalizi. Tujiulize kwanini maandamano ya Seif Zanzibar hayakufanikiwa

Kina Mbowe wasanii, pale wanawazuga Mabeberu waliwapa fedha za kampeni ili ionekane baada ya 'kuibiwa kura' walionesha hali ya kutoridhika na walijaribu ku protest

Hakuna wa kuandamana hasa huku bara ndip sababu hata Maalim kawapuuza hakuja japo awali aliahidi kuja
Umeongea points tupu. Huwez kumwamsha mtu akaandamane wakati hajui mwisho wa siku maandamano yanaishia ikulu au Kariakoo sokoni
 
Hukuandamana UKUTA, wala kwa Da'Mange kwa Lissu utajitokeza kweli?
Oooh! Wakati ule sikuwa nimedhulumiwa kama Sasa. Nimetumia hela yangu kufanya kampeni halafu unapora ushindi wangu kibwege tu. Hata mtume ametuamrisha kupambana na dhuluma kwa jihad
 
Mbona karatasi za kura zilizagaa mpaka zikawa zinatumika kufungia maandazi.
Huu wizi uliratibiwa na intelligence officers (TISS).

Hawa waliruhusu begi moja or so likamatwe ili ‘walinda kura’ wawe macho kuhakikisha kura haziingi ndani kutokea nje. Kumbe wizi wenyewe ulikuwa unafanyika ndani

Wale maafisa wa muda wa NEC ndio waliokuwa wanapiga kura za ziada ndani. Bahati nzuri/mbaya walikuwa na namba za wote waliojiandikisha na ilikuwa rahisi tu kutupigia kura sisi tulio busy humu ila kwenda kupiga kura hatutaki.

Bottom line: Kwa NEC hii, hakuna haja ya kushiriki uchaguzi mwingine
 
Jamana printers watakuwa walitengeneza karatasi 12,500,000 zenye kura kwa Magufuli, tuwasusie bidhaa zao wanatuharibia nchi.

Kura za wizi zingekuwa zimejazwa kwa mikono mipango haramu ya CCM ingejulikana siku nyingi.

Maandamano yaanzie Jamana printers kuelekea ofisi za tume.
 
Siro usicheze na maandamano ya tarehe 2. Utaishia ICC, uiache familia yako
 
Ingekuwa rahisi hivyo bongo ungekuwa unaona maandamano kila siku
 
nec hii hii ambayo Mbowe na halima wamekuwa wabunge kwa mihula miwili au hamkumbuki hilo....kususia bunge la corona kumewaharibia sana makamanda!
 
Umeanza lini kumpinga Mbowe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…