Angalia usije ukabakwa dada usicheze na maandamano wewe yasikie tuMm kwa uchungu nilio nao naona muda na masaa yanachelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia usije ukabakwa dada usicheze na maandamano wewe yasikie tuMm kwa uchungu nilio nao naona muda na masaa yanachelewa.
Mbinu za wizi zimebadirika. Zamani DED na polisi wake wakikuwa wananyakua masanduku na kukimbia nayo, the reason why watu wakaja na dhana ya “kulinda kura”. Halima na Mbowe walikuwa wanashinda kwa taabu kama unakumbukanec hii hii ambayo Mbowe na halima wamekuwa wabunge kwa mihula miwili au hamkumbuki hilo....kususia bunge la corona kumewaharibia sana makamanda!
Huyo mkwamishaji ili mradi hayupo eneo la tukio sisi tutaendelea kuandamanaWanaokwamisha/watakaokwamisha maandamano si polisi...
Hata waandaaji na wahamasishaji wa maandamano wanalielewa hili...
Nasisitiza adui wa maandamano kufanikiwa si polisi..
Natumai ukifikiria vizuri utanielewa.
Mbona chadema kama mtoto mdogo tukipigwa tutakimbilia ICC NA BOB AMSTERDAM je ni baba yenu Tanzania tumeamua Magufuli andamana utaona kama Lissu na Mbowe watakuja kukutembelea mahabusu. Mnatishia Libya waliandamana je Libya iko wapi sasa?? Msilete utani na amani yetu .Lissu anatakiwa kuwa medical appointment BelgiumICC inamhusu Siro. Mnamponza baba wa watu. Ataacha familia yake.
Hivi kwann polisi mnampigania mwizi?
Kamanda una mambo ya kitoto sanaMm destination yangu ni ofisi ya Mkurugenzi ama gari lake. Nikiwa nimebeba petroli kwenye dumu la lita 5 na kiberiti.
Nikiwa mlangoni nakunywa nusu ya dumu la lita 5 nusu najimwagia halafu nawasha moto naenda kumkumbatia mkurugenzi.
Yaani lazima niandamane nife kishujaa nikitetea haki yangu, kuliko kufa nimechutama kwa kupokwa haki yangu.Moja ya changamoto za ICC ni kuwa na jela ambazo ni five star hotel.
Yaani mtu anahalalifu kwa kuua wengine akakae five star hotel kama adhabu.
Itabidi tujifunze Kenya waliuana wakamaliza kuuana ila mzee Kibaki hakupelekwa ICC na waliopelekwa wakashinda kesi wakaendelea kula nchi mpaka leo ni viongozi na nwingine ni rais.
Waliokufa wakiitegemea ICC ndio walishakufa.
Uandamane, usiandamane hakikisha unalinda uhai wako na viungo vyako vyote vyamwili na jitahidi sana usiwaamini wanasiasa.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Basi mwambie huyo kamanda wako mnywa gongo anisogelee aone.Kamanda una mambo ya kitoto sana
Si uzaeMm kwa uchungu nilio nao naona muda na masaa yanachelewa.
Unamponza Siro, wewe ni kidampa tu mpiga porojo kwenye keyboard. Tunapambana na wenye mbwa sisi hatpambani na mbwa.Makamanda njooni barabarani hiyo j3 bila kukosa, tunawasubiri kwa hamu ili tuwanyooshe.