Uchaguzi 2020 Kutangaza maandamano pekee hakutoshi, kunahitaji maandalizi. Tujiulize kwanini maandamano ya Seif Zanzibar hayakufanikiwa

Uchaguzi 2020 Kutangaza maandamano pekee hakutoshi, kunahitaji maandalizi. Tujiulize kwanini maandamano ya Seif Zanzibar hayakufanikiwa

Hakuna maandamano ya ghafla namna hiyo yaliowahi kufanyika
 
Yes yametangazwa kuwa maandamano ya amani.

Mkishabeba silaha mnapoteza protection ya sheria za kimataifa na hapo mnageuka kuwa unlawful combatants hivyo jeshi linakuwa na haki ya kutumia silaha za kivita kupambana na nyinyi.

We toka kaandamane usibebe fimbo wala panga beba chupa ya maji na taulo tu.


Kweli kabisa!

Polisi wanatakiwa kutumia mabomu ya machozi tu pale itakapobidi kutawanya waandamanani na siyo silaha za moto!

Hekima na subira inahitajika sana ili kuepuka maafa jamani!

Yasijeyakatokea machafuko !
 
Kesho!!!
Hivi unafanya nn humu mtu mjinga kama wewe? JF siku hizi imejaa watu ambao ni less informed kama wewe?? Kesho anaapishwa yule mkuu wa mkoa kule visiwani.
Sawa mimi mjinga, je mpumbavu na lofa nani bora!

Hongera Mwinyi, hongera Magufuli. Tanzania mpya iko mikononi mwenu na wateule wengu kuunda baraza la mawaziri na kuongoza Taasisi zake
 
Maandwmano kwa nchi za kidikteta ni suecide mission
Better option ilikua ni kutafuta silaha na kuingia porini kupambana
Silaha kwa silaha
Lakini MIKONO mtupu na wengine wanasilaha za kivita
Watauawa watu kadhaa wengine watapata ulemavu na wengi watajikuta jela
Mamilioni ya vijana wapo tayari kupambana na utawala dhalim lakini hawapo tayari kujipeleka wakaumizwe
Kumbuka unapigana na mtu mwenye silaha wewe MIKONO mitupu
Sijui kwamba umeelewa ulichoandika
Ina maana unahimiza maasi
 
National security under threat.
Security level 3 activated. Citizens are advised to stay indoor..
 
Mm destination yangu ni ofisi ya Mkurugenzi ama gari lake. Nikiwa nimebeba petroli kwenye dumu la lita 5 na kiberiti.

Nikiwa mlangoni nakunywa nusu ya dumu la lita 5 nusu najimwagia halafu nawasha moto naenda kumkumbatia mkurugenzi.
Hakuna mbongo anayeweza kufanya hivi. Labda kama una undugu na waarabu
 
Sijui kwamba umeelewa ulichoandika
Ina maana unahimiza maasi
maandamano wakati unaona mbele yako kuna jeshi lenye silaha za kivita ni upuuzi mtupu
mwenye akili hawezi kwenda

viongozi wakae na mabeberu waombe silaha watu watafutane Kwa mtutu sio wengine bunduki wengine mikono mitupu
 
Screenshot_20201101-160801_Twitter.jpg
 
Lengo huenda lilikuwa zuri ila organisation hakuna na hiyo Jumatatu most likely kusitokee kitu

View attachment 1616756
Maandamano kwenye kata yataelekea ofisi za wasimamizi wa Uchaguzi kutokea wapi? Nani anaongoza? Saa ngapi? Waandamanaji wakifika huko wanapaswa kufanya nini?

Siera Leone upinzani walikinukisha siku 7 kabla ya uchaguzi na kura zimepigwa leo. Incumbent President keshaanza kuomba poo na huenda asiibe sana
Shida si waitisha maandamano, shida ni waitikia maandano. Hao ndo shida wanaogopa kupigwa risasi, virungu n.k ili hali pia hawajafurahishwa na namna uchaguzi ulivyofanyika.

Kwa sasa nadhani upinzani haswa hasa ACT na Chadema. Watulie hii miaka mitano tuone hali itakuwaje. Wamrisk sana maisha yao kwa ajili ya watanzania wasiojielewa na waliowaoga kupindukia.

Hapa Chingola, watanzania kadhaa wanalaani sana namna watanzania wanavyowaangusha viongozi wa upinzani.
 
National security under threat.
Security level 3 activated. Citizens are advised to stay indoor..

Kama hawana taarifa waambie tumewashikilia mbowe na Lema. Tumeanza na hao. Tutamkamata na Lissu pia
Waache wajitie wabishi
 
Niko live apa Instagram ingia Vocha_za_miladyy_ayo hamna mbuz hata mmoja barabaran [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sexless ( a.k.a dumu la petrol) is no where to be seen.. Mkuu bado siamini kwamba ile mikwara uliyotupiga toka juzi imeishia kwenye upepo😀😀. Bavicha mnachekesha sana
 
Sexless ( a.k.a dumu la petrol) is no where to be seen.. Mkuu bado siamini kwamba ile mikwara uliyotupiga toka juzi imeishia kwenye upepo😀😀. Bavicha mnachekesha sana
mimi nilisema kuandamana mbele ya watu wenye silaha za kivita ni upuuzi mtupu
Kuna maelfu ya vijana wapo tayari kushika mtutu ilia wapambane Lakin sio kujipeleka kijinga
tuleteeni vitu tupambane kabla hatujapoa
 
Back
Top Bottom