Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
Nani kakwambia anaomba ruhusa??!
HAYA. LETS SEE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia anaomba ruhusa??!
Yes yametangazwa kuwa maandamano ya amani.
Mkishabeba silaha mnapoteza protection ya sheria za kimataifa na hapo mnageuka kuwa unlawful combatants hivyo jeshi linakuwa na haki ya kutumia silaha za kivita kupambana na nyinyi.
We toka kaandamane usibebe fimbo wala panga beba chupa ya maji na taulo tu.
Hajashinda bali amepora ndio maana sijaacha utumishi wa ummaUmeshaacha kuwa Mtumishi wa Umma maana ulitoa ahadi yako hapa jukwaani.
Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Sawa mimi mjinga, je mpumbavu na lofa nani bora!Kesho!!!
Hivi unafanya nn humu mtu mjinga kama wewe? JF siku hizi imejaa watu ambao ni less informed kama wewe?? Kesho anaapishwa yule mkuu wa mkoa kule visiwani.
Sijui kwamba umeelewa ulichoandikaMaandwmano kwa nchi za kidikteta ni suecide mission
Better option ilikua ni kutafuta silaha na kuingia porini kupambana
Silaha kwa silaha
Lakini MIKONO mtupu na wengine wanasilaha za kivita
Watauawa watu kadhaa wengine watapata ulemavu na wengi watajikuta jela
Mamilioni ya vijana wapo tayari kupambana na utawala dhalim lakini hawapo tayari kujipeleka wakaumizwe
Kumbuka unapigana na mtu mwenye silaha wewe MIKONO mitupu
Vile vichwa vimekurupuka mzee.Sidhani kama vile vichwa vimekurupuka.huenda kuna kitu.tuzidi kumuomba MUNGU
Who said this?National security under threat.
Security level 3 activated. Citizens are advised to stay indoor..
Hakuna mbongo anayeweza kufanya hivi. Labda kama una undugu na waarabuMm destination yangu ni ofisi ya Mkurugenzi ama gari lake. Nikiwa nimebeba petroli kwenye dumu la lita 5 na kiberiti.
Nikiwa mlangoni nakunywa nusu ya dumu la lita 5 nusu najimwagia halafu nawasha moto naenda kumkumbatia mkurugenzi.
maandamano wakati unaona mbele yako kuna jeshi lenye silaha za kivita ni upuuzi mtupuSijui kwamba umeelewa ulichoandika
Ina maana unahimiza maasi
Shida si waitisha maandamano, shida ni waitikia maandano. Hao ndo shida wanaogopa kupigwa risasi, virungu n.k ili hali pia hawajafurahishwa na namna uchaguzi ulivyofanyika.Lengo huenda lilikuwa zuri ila organisation hakuna na hiyo Jumatatu most likely kusitokee kitu
View attachment 1616756
Maandamano kwenye kata yataelekea ofisi za wasimamizi wa Uchaguzi kutokea wapi? Nani anaongoza? Saa ngapi? Waandamanaji wakifika huko wanapaswa kufanya nini?
Siera Leone upinzani walikinukisha siku 7 kabla ya uchaguzi na kura zimepigwa leo. Incumbent President keshaanza kuomba poo na huenda asiibe sana
National security under threat.
Security level 3 activated. Citizens are advised to stay indoor..
mimi nilisema kuandamana mbele ya watu wenye silaha za kivita ni upuuzi mtupuSexless ( a.k.a dumu la petrol) is no where to be seen.. Mkuu bado siamini kwamba ile mikwara uliyotupiga toka juzi imeishia kwenye upepo😀😀. Bavicha mnachekesha sana