Kutangaza utalii kuendane na kujenga miji ya kitalii. Watalii hawapendi miji michafu.

Kutangaza utalii kuendane na kujenga miji ya kitalii. Watalii hawapendi miji michafu.

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Siku hizi watalii wanataka sehemu za kupiga picha na kupost intagram, facebook, whatsapp nk nk. Ndiyo maana miji mizuri ndiyo inaongoza kwa kupokea watalii. Mtu hataki kuja kutalii halafu anakutana na takataka, open sewers, makopo ya maji, barabara za vumbi nk nk

Tungerekebisha miji yetu ya utalii, hasa Arusha. Ipate lami kila kona, taa za barabarani, usafi wa kiwango cha kimataifa, usalama nk nk.
 
Siku hizi watalii wanataka sehemu za kupiga picha na kupost intagram, facebook, whatsapp nk nk. Ndiyo maana miji mizuri ndiyo inaongoza kwa kupokea watalii. Mtu hataki kuja kutalii halafu anakutana na takataka, open sewers, makopo ya maji, barabara za vumbi nk nk

Tungerekebisha miji yetu ya utalii, hasa Arusha. Ipate lami kila kona, taa za barabarani, usafi wa kiwango cha kimataifa, usalama nk nk.
well said
 
Kweli kabisa mkuu usafi ni jambo la muhimu sana, mf; arusha kuna wakati watalii watembelea mitaa na masoko yetu na kupiga picha, uwa naona aibu sana mitaa na masoko yetu yalivyo machafu wanaozoa taka wanaziacha mpaka wiki mji unanuka na tunatarajia watalii waongezeke.
 
Back
Top Bottom