Kutekeleza ilani: Nyumba 1500 za NSSF zilizokosa wanunuzi kupewa Vyuo vikuu

Kutekeleza ilani: Nyumba 1500 za NSSF zilizokosa wanunuzi kupewa Vyuo vikuu

Hapa ndio wanapofeli, Serikali, Agency Zake Private sector zote hzi ina maana wmeshindwa kutafuta wateja ambao watakua wanalipa in monthly basis kama analipa rent huku anapunguza deni hata kama it will take 15-20 Years, Kwa maana ukiwapa wanafunzi wanazigeuza hostel ama?
Bei za nyumba haziendani na thamani halisi ya soko, zilijengwa kwa gharama kubwa sana za kipigaji, zinatakiwa ziuzwe kwa gharama kubwa kitu ambaco hakiwezekani.

Mbongo anaona bora ajenge mwenyewe kwa gharama nafuu hata kama itakuwa kwenye squatter area.
Au anunue kiwanja kilichopimwa ajenge mwenyewe.
 
Hivi kuna mtu mwenye akili anunue nyumba hizo? Yaani akaishi KoTa. Full uswahili, wazipangishe bei kama zile za NHC zamani zile
 
Utashangaa Dr. Dau anasifiwa kwa miradi ya ujenzi kama hii.
Bado yule Nehemia wa NHC nae ndio walewale.
 
kiukweli ktk iyo sekta mifuko ya hifadhi za jamii ziliingia kichwa kichwa tu.... na ukizingatia kutoweka kwa ule mradi wa New Kigamboni City pia ilichangia ..sijui wale jama zetu wa kichina kule kigamboni wao walifanikiwa pia au la hasha ? vijumba vilijengwa vidogo lafu bei kaliiiiiii
Unamaanisha AVIC TOWN?
 
Nyumba za kawaida sana bei kibwa mno. Walijenga bila akili for sure maana hata ukikopeshwa hazikopesheki watu wakaamua waingie mtaa wajenge wenyewe. Wizi tu huu pesa kibao ya govt imepotea
Pesa za wafanyakazi sio za serikali.wafanyakazi ndio pesa zao hufanyiwa uwekezaji bila ya wao kushirikishwa,mwisho wa siku miradi isipolipa ndio zinakuja zile sheria kandamizi za "mafao yenu mpaka mkikaribia kufa".
 
Nyumba za kawaida sana bei kibwa mno. Walijenga bila akili for sure maana hata ukikopeshwa hazikopesheki watu wakaamua waingie mtaa wajenge wenyewe. Wizi tu huu pesa kibao ya govt imepotea
Siyo pesa ya govt ni michango ya wafanyakazi hiyoo
 
Back
Top Bottom